Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Yaleyale ya kambona masha mzee na kasela bantu, kwenye kampeni za ubunge tunampambanisha na Wema Sepenga tuone kama atachomoa.
 
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Yaani munashangilia kuahidiwa kukutana na viongozi wa nchi za ulaya! Taabu kabisa! No wonder shithole......
Hebu niamini ni kweli. Baadaye tupate nini? Atapata nini? Ni kudanganywa tu! Serikali za Ulaya hazifanyikazi na mtu asiyeendesha serikali? Atakuwa kama Morgan Tsvangirai, kuishia kutelekezwa mitaani tu.
 
..mbona Mkulu amekutana na majizi yaliyotuibia madini yetu na kufanya nayo mazungumzo.

..tena akakutana na Babu Seya, mlawiti watoto, mahala "patakatifu."
 
Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
We mtu wa 2009 ndani ya JF bado unaamini hiyo ndo kazi ya mwanasiasa mzuri? Tanznia ni nani, wewe ni nani na Lissu ni nani?

Alisema Barrick gold itatushitaki, haikutokea. Akaomba tunyimwe misaada, haikutokea. Sasa nawe unaomba tutengwe na wewe mwenyewe ukiwemo!
 
Duh! Yaani hakuna wa kujibu hapo.Hilo bonge la tofali.
si kila ujinga na matapishi yanafaa kujibiwa ukiona kimya jua ni matapishi hayo...nakujuza tu usishangae kwa nini hajibiwi
 
si kila ujinga na matapishi yanafaa kujibiwa ukiona kimya jua ni matapishi hayo...nakujuza tu usishangae kwa nini hajibiwi
..mbona Mkulu amekutana na majizi yaliyotuibia madini yetu na kufanya nayo mazungumzo.

..tena akakutana na Babu Seya, mlawiti watoto, mahala "patakatifu."
Mpaka utapike.
 
Akiisemea vibaya nchi yetu cha kufanya ni kumtangazia vita kuwa ni adui Wa nchi yetu na hatakiwi kurudi nchini!! Tuone kama wazungu watamsaidia kurudi!! Awage mkimbizi huko!!
Hata asiposema yeye kipi siri wazungu wasichojua,wanaijua Africa kuliko hata wwe.
 
Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Kutengwa sio jambo jema, tunataka umoja zaidi. Kukosoa kwetu na kukemea serikali iwe kwa manufaa ya taifa na sio kubomoa. Tukitaka kutengwa au kukomoa basi jua kuwa tumejawa na roho ya chuki.

Get well soon Lissu, karibu nyumbani kusukuma gurudumu la maendeleo.
 
Huyo ni yuda na unajisumbua tu hatafanikiwa kamwe na akitoka akae hukohuko aliko manake anachokifanya hasitahili kuitwa mtanzania
Kimsingi si Yuda, ila anasugua vidonda vya watu ndio maana anachukiwa na wachache wasiolewa maana ya kukoselewa
 
Kimsingi si Yuda, ila anasugua vidonda vya watu ndio maana anachukiwa na wachache wasiolewa maana ya kukoselewa
afanye afanyalo lkn huyo ni yuda tu km asingeonyesha bombardie ilipo hilo la kikosoa siyo shida.aidha alishawahi kusema ataenda kutuchongea kwa jimuia ya kimataifa ili tukose msaada wakati hilo likifanikiwa hata wapiga kura wake nao wataathirika vibaya mtu wa hivyo ni yuda tu hakuna jina lingine lomfaalo na akifanya hayo akae hukohuko asikanyage nchi hii akiwa hai.
 
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Chambele cha watu kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo
 
afanye afanyalo lkn huyo ni yuda tu km asingeonyesha bombardie ilipo hilo la kikosoa siyo shida.aidha alishawahi kusema ataenda kutuchongea kwa jimuia ya kimataifa ili tukose msaada wakati hilo likifanikiwa hata wapiga kura wake nao wataathirika vibaya mtu wa hivyo ni yuda tu hakuna jina lingine lomfaalo na akifanya hayo akae hukohuko asikanyage nchi hii akiwa hai.

..na waliomruhusu Babu Seya Ikulu ni watu wa aina gani?

..je, hao siyo wasaliti, wahujumu, wanaochafua taswira ya Tanzania?
 
afanye afanyalo lkn huyo ni yuda tu km asingeonyesha bombardie ilipo hilo la kikosoa siyo shida.aidha alishawahi kusema ataenda kutuchongea kwa jimuia ya kimataifa ili tukose msaada wakati hilo likifanikiwa hata wapiga kura wake nao wataathirika vibaya mtu wa hivyo ni yuda tu hakuna jina lingine lomfaalo na akifanya hayo akae hukohuko asikanyage nchi hii akiwa hai.
Hebu rudia kidogo hapo kwenye Bombadear
 
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Nafas adim hyo
Aitumie kuwaambia kuwa tanzania inahtaj maendeleo.
 
Back
Top Bottom