Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh, unajitambua? Ha ha ha, lofa wewe.Sihitaji msaada mimi najitambua , taahira mkubwa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, unajitambua? Ha ha ha, lofa wewe.Sihitaji msaada mimi najitambua , taahira mkubwa wewe.
Safi saana!!Lissu The Great
Hana lolote huyo mnafiki tu na mropokaji hakuna mwanasheria mropokaji kama huyu eti anapaswa ga kampeni Tanzania itengwe na jumuiya za kimataifa isipewe misaada ...huyu ji..ng.a kabisaUCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI
Trump hajakosea kwa mtu kama wewe.Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Rudia kusoma posts # 5, # 6, # 7 za uzi huu.
Kwa sasa Lissu ni mgonjwa maamuzi yake mengi yanaratibiwa na wanaomzunguka. KWa kifupi ni 'mateka' kwa wanaomzunguka kwa sasa, Lissu ni binadamu anapata maumivu kama binadamu mwingine. Hivyo ili aepuke maumivu hayo lazima apone. Kwa hiyo yeyote kwa sasa atakayemshauri kwa kumwambia afanye jambo fulani ili apone. Kwa vyovyote vile mgonjwa , Mh. Lissu, atafanya. Kwa hiyo tunapoona maneno maneno yasiyofaa kwa ustawi wa mshikamano na amani ya nchi yetu kupitia ugonjwa wa mtanzania mwenzetu, Mh.Lissu, lazima tuseme kwa ukali.
Ndugu huyo trump alichokisema kinaendaje na mimi. ? Kwani katika moja ya hotuba zake Lissu hakuitaka jumuiya ya kimataifa kuizomea, kuisusa, kuitenga Tanzania? ??kama Huna video clip yake angalia YouTube. Ss unafikiri kama hilo ndilo lililojaza moyo wake unafikiri akikaa na watu weupe atasemaje?Trump hajakosea kwa mtu kama wewe.
Jumuiya ya kimataifa ikiisusa na kutenga Tanzania nani anafaidika na nani anapata hasara? Halafu wewe unaacha kuipenda nchi yako unakomaa kumsujudia huyo Lisu wako na wazungu. Ifike wakati waafrika tujikubali na tujitambue na tuache kuwasujudia hao wazungu mnaowalilia na kujipendekeza kwao wakati wao wanafurahi nyani mnapogombana.Ndugu huyo trump alichokisema kinaendaje na mimi. ? Kwani katika moja ya hotuba zake Lissu hakuitaka jumuiya ya kimataifa kuizomea, kuisusa, kuitenga Tanzania? ??kama Huna video clip yake angalia YouTube. Ss unafikiri kama hilo ndilo lililojaza moyo wake unafikiri akikaa na watu weupe atasemaje?
Ndugu huyo trump alichokisema kinaendaje na mimi. ? Kwani katika moja ya hotuba zake Lissu hakuitaka jumuiya ya kimataifa kuizomea, kuisusa, kuitenga Tanzania? ??kama Huna video clip yake angalia YouTube. Ss unafikiri kama hilo ndilo lililojaza moyo wake unafikiri akikaa na watu weupe atasemaje?
..ahishie Huko Huko,..Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Magu alishasema Tanzania ni nchi tajiri sana wala hahitaji misaada bali tutaanza kutoa misaada nchi za nje. Sasa nakushangaa wewe boya, misaada gani unataka upewe? Ina maana unaenda kinyume na maneno ya mkulu kama boya mwenzio Nkamia? Au unamaanisha Lissu atazishawishi nchi za ulaya zisipokee misaada kutoka nchi yetu tajiri Tanzania? Usitumie matako, tumia kichwa kufikiri!mwanasheria mropokaji sana huyu...anapiga kampeni Tz isipewe misaada?! ji.ng.a sana huyu na
Hivi LISU kaikosea nn TZ mbona mm cielew kitu hebu funguka kidogo na mm nianze kumchukia.Jumuiya ya kimataifa ikiisusa na kutenga Tanzania nani anafaidika na nani anapata hasara? Halafu wewe unaacha kuipenda nchi yako unakomaa kumsujudia huyo Lisu wako na wazungu. Ifike wakati waafrika tujikubali na tujitambue na tuache kuwasujudia hao wazungu mnaowalilia na kujipendekeza kwao wakati wao wanafurahi nyani mnapogombana.
hakikaItapendeza.
Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu