Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Hata mtoto mdogo anajua kapigwa risasi. Bila kujali nani kampiga risasi,hoja ni kwamba je,tukio hilo ama na mengine yanayotajwa linatosha kuilinganisha Tz na SA? Suala la SA ya wakati wa Pic Botha na akina Vorster ilikuwa habari nyingine bw. Mdogo. Unakumbuka mauaji ya Sharperville kaka? Kama ndivyo ndo unalinganisha na tukio la Lissu?
Mauaji hayalinganishwi, Mungu kasema usiue...hajataja idadi ya watu, burger!!
 
Maigizo yenu yalishaajulikana toka kitambo sana kuwa mlitaka kutengeneza hii movie ili muendelee kuichafua nchi hii ktk nyanja za kimataifa, huu ni uadui kama uadui mwingine Lissu hana tofauti na gaidi au mhujumu uchumi, mmetafuta madaraka kwa nguvu mmekosa sasa mmeamua kuwatumia mabeberu lkn hamtofanikiwa, mtu wa aina hii hata akifa ni nuksi imeondoka ni laana na fitna imeondoka katka jamii yetu, lengo la Lissu na chadema ni kuona Tanzania ikigeuka Zimbabwe ya Afrika Mashariki huyu ni adui yetu na ukifanikiwa kupambana nae ni kupambana maana unapata heshma kumuondoa nduli huyu, ngoja tuone mwisho wake lkn najua sio mzuri maana havumiliki hata kidogo haswa kwa wazalendo
Kwa hiyo mlimmiminia risasi ili muondoe nuksi? Quite incredible.
 
Mungu kamkataa Tundu Lisu na ndiyo maana kaacha aumie!
Risasi 38 halafu unasema Mungu kamkataa?? Mungu kamkataa yule aliyetoa amri ya kuua na ndio maana alituma malaika wake kwenye tukio ili kuzigeuza risasi ziwe maji.
 
Nakupa mfano mwepesi, ., sheria inasema ukihisi au ukimkamata mtu na bastola au bunduki ukahisi tu kuwa ni jambazi unampeleka kwenye vyombo vya sheria, ILA Africa hii wanarudi uraiani tena na kusumbua RAIA, SO sasa hivi hakuna muda wa kufata sheria, ni RISASI tu, tukikukamata na bunduki ni RISASI tu hata uwe Mtoto wa nani , ilimradi hauimilimi kihalali, ndo maana muda unavyoenda ujambazi unaisha, sio kama huko nyuma kila siku majambazi majambazi.. Tungefata sheria ingekuwaje???., SO wakati mwingine binadamu anahitaji ubabe ili Maisha yasonge, CHINA isingefika ilipo bila ubabe na ubabe wa RISASI, mtu akizingua ni RISASI tu huko CHINA. Huyo shujaa wenu anachoendelea kukitafuta atakipata tu.
Hakuna excuse kwenye kuua mtu. Mungu anasema usiue.
 
Risasi 38 halafu unasema Mungu kamkataa?? Mungu kamkataa yule aliyetoa amri ya kuua na ndio maana alituma malaika wake kwenye tukio ili kuzigeukuuana za risasi ziwe maji.
Huyo Banyamulenge humwambii kitu kuhusu kuuana maana ni jadi yao kuanzia tumboni. Chunguza usije kuwa umepandikizwa vimelea vyao kwenye uzao wako utajuta.
 
Back
Top Bottom