Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mna hofu, muovu wakati wote huwa anajishtukia. Kama mnawapiga kwa risasi wanaowapinga kihalali kwa mujibu wa katiba, mnawafungulia kesi za kipumbavu wapinzani ili kuwaziba midomo wasikosoe ambayo ndio kazi yao, kuzuia mikutani ya siasa kinyume na katiba, wamekamatwa akina Roma, Kipanya na sheria nyingi kandamizi. Hamzisemi wala kuona uovu unaofanywa na dikteta uchwara, ila majeruhi wa uovu huu ndio mbaya?Mwaka 2018 Lini Tanzania ilipata uhuru? Hadi leo tunashitaki kwa wazungu? Maajabu makubwa? Miaka kumi iliyopita huyuhuyu alikuwa anawatusi wanatuibia sana,Leo kutwa kushitaki nchi za Ulaya, sijui wenzetu korea kaskasini wameshitakiwa mara ngapi? Lakini wapo tu wanaendesha mambo yao, wanajitambua vya kutosha, chonde chonde kizazi kipya tujitambue wazungu si wajomba zetu wala siyo Binamu zetu
Hujajikomboa tu?Tundu Lisu awe chachu ya ukombozi
Hata Arsene Wenger inatamkwa Arsene Venger; uko vizuri mdau.Hayo ni matamshi ya ki-Afrikaans (Balthazaar Johannes Vorster). Jina ni Foster maana hata William wanatamka Villiam.
Unaongea kinyume chake, Tanzania ndio inajidhalilisha mbele ya jumuia ya kimataifa. Haiwezekani mbunge apigwe risasi kwenye residents za viongozi na hakuna updates za aliyekamatwa au hata profile ya mtuhumiwa toka kwa vyombo vya usalama vyaTanzania, hii ni kulidhalilisha taifa letu.Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Tatzo hamuelewi. Mnaongelea mambo ya kupigwa risasi kwa lissu wakat hukohuko ulaya ndio vinala Wa kupiga risasi..Mbona mna hofu, muovu wakati wote huwa anajishtukia. Kama mnawapiga kwa risasi wanaowapinga kihalali kwa mujibu wa katiba, mnawafungulia kesi za kipumbavu wapinzani ili kuwaziba midomo wasikosoe ambayo ndio kazi yao, kuzuia mikutani ya siasa kinyume na katiba, wamekamatwa akina Roma, Kipanya na sheria nyingi kandamizi. Hamzisemi wala kuona uovu unaofanywa na dikteta uchwara, ila majeruhi wa uovu huu ndio mbaya?
It has to be a shithole brains bana, wakati mwingine nakubaliana na Trump waafrika sisi ni wa hovyo
Unajua tukio la kupigwa risasi TAL lenyewe tu linavuta attention ya dunia; watu wanataka kufahamu inawezekanaje binadamu tena mwanasiasa maarufu amiminiwe risasi zaidi ya 30, je walikuwa wanaua mnyama gani ambaye hajawahi kuonekana duniani kwa ukubwa wake.Huyo hana adabu anaendaje kuichafua nchi nje? sii mzalendo hata kidogo maana atawadanganya wazungu ili waiwekee vikwazo nchi hajui watakaoathirika ni wananchi wa vijijini kama IKUNGI ?
Havipo kimya kila wakitaka kweda kuchukua maelezo yake au ya dereva wake anakataa na kusema yuko nje ya nchi ,, halafu anaibuka tena kulalamika. Huyu ni mtu wa ajabu tena ana kama kakisirani ana uwezo wa kuchafua nchi yeye akatokomea ughaibuni kwenye vibaraka wake akatuachia taabu walala hoi. Mgonjwa gani huyu!!! anaongea hovyo??Unajua tukio la kupigwa risasi TAL lenyewe tu linavuta attention ya dunia; watu wanataka kufahamu inawezekanaje binadamu tena mwanasiasa maarufu amiminiwe risasi zaidi ya 30, je walikuwa wanaua mnyama gani ambaye hajawahi kuonekana duniani kwa ukubwa wake.
Hili la mtu kupona kwenye shambulizi baya kama lile ni zaidi ya yaliyomkuta Mandela; cha ajabu ni kuwa vyombo vya usalama vya Tanzania vipo kimya, hakuna kinachoendelea, lazima dunia itaharuki!!
Toa evidence ya yeye kukataa kuhojiwa. Utaratibu ni kuiomba serikali ya Kenya kibali cha kumhoji au serikali ya Kenya imhoji na kutoa report kwa Tanzania.Havipo kimya kila wakitaka kweda kuchukua maelezo yake au ya dereva wake anakataa na kusema yuko nje ya nchi ,, halafu anaibuka tena kulalamika. Huyu ni mtu wa ajabu tena ana kama kakisirani ana uwezo wa kuchafua nchi yeye akatokomea ughaibuni kwenye vibaraka wake akatuachia taabu walala hoi. Mgonjwa gani huyu!!! anaongea hovyo??
Viongozi wa Ulaya wanatakiwa kwenda kuonana na mgonjwa aliyelazwa hospitali ya first class, is that the law??? Mbona thinkings za proponents wa chama kizee zipo chini kiasi hiki.Huyo Lisu akutane na viongozi waandamizi wa ulaya kama nani yeye?? Acheni kuwadanganya watu yeye yupo pale kama mgonjwa wa kawaida tu na hospitali aliopo ni ya kawaida wala sio first class.wadanganyeni huko huko bongo watu wanaosoma magazeti ya udaku.
Ni sawa kabisa, sasa washauri wenzako waache kutoa povu kwenye PC au simu zao.Kama alishindwa wakati yupo mzima alipopiga kambi bunge la ulaya kwa wiki mbili,kwa sasa ni kama wanaenda kumuona mgonjwa na kumpa pole tu
Hata Arsene Wenger inatamkwa Arsene Venger; uko vizuri mdau.
Sasa ukiitwa lofa unakasirika.Unajua tukio la kupigwa risasi TAL lenyewe tu linavuta attention ya dunia; watu wanataka kufahamu inawezekanaje binadamu tena mwanasiasa maarufu amiminiwe risasi zaidi ya 30, je walikuwa wanaua mnyama gani ambaye hajawahi kuonekana duniani kwa ukubwa wake.
Hili la mtu kupona kwenye shambulizi baya kama lile ni zaidi ya yaliyomkuta Mandela; cha ajabu ni kuwa vyombo vya usalama vya Tanzania vipo kimya, hakuna kinachoendelea, lazima dunia itaharuki!!
Lissu Syo RisuRisu kaenda ulaya kutualibia jina tanzania
ThibitishaMhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Risu kaenda ulaya kutualibia jina tanzania
Sasa ukiitwa lofa unakasirika.