Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Wameshajua ndiyo maana wakaja na hili:
Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, leo kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.

"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".
 
Mzee mizani unayotumia ni IPI? Hivi kati ya mtu anayeua watu na anayesema kuna mtu anayeua watu, yupi anadhalilisha nchi. Wacheni hizi fikra nyepesi
Amini amini nakuambia, mwanaume anaye shindwa kumfikisha mkewe kilele cha raha anaiweka ndoa matatizoni, lakini mwanamke anaye amua kutangaza udhaifu huu mtaani anaua ndoa asubuhi SAA tatu.
Tundu Lissu ni aibu ya taifa hili.
 
Aliyeshindwa siasa za ndani hadi anafanya udikteta uchwara wa kuteka Watanzania kuwatesa na kuwaua ni nani?

Anayedharau sheria za nchi, katiba, mahakama, Bunge ni nani?

Aliyekosa sera na kuamua kuwanunua wachumia tumbo kwa pesa na vyeo ili wajiunge na chama cha wahuni ni nani?



Acha kukurupuka na kuandika upuuzi humu.

Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
 
Amini amini nakuambia, mwanaume anaye shindwa kumfikisha mkewe kilele cha raha anaiweka ndoa matatizoni, lakini mwanamke anaye amua kutangaza udhaifu huu mtaani anaua ndoa asubuhi SAA tatu.
Tundu Lissu ni aibu ya taifa hili.
Mfano wako ni irrelevant, aibu hii ni ya anayeua na sio anayesema anauawa ama kuna watu wanauawa. Mahangaiko yenu mitandaoni ni ishara tosha ya namna mlivyotekenyeka na ukweli wa lissu. Bahati mbaya mlianza kuhangaika na kubana media za ndani mkifikiri mtakuwa salama, sasa mfungue na media za nje zinazoandika taarifa za lisu
 
Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu

Sababu za yeye kufikia hayo ni ipi? Mtu kapigwa risasi na ana haki zake lakini hatibiwi bali anakomolewa. Sio kila mtu hajui kudai haki yake. Ana watu wanamkubali msidhani yeye kufanyiwa unyama kila mtu anawaunga mkono.
 
Back
Top Bottom