Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijifanye mzalendo kuliko wengine !!Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Anayoyafanya yule mwenye kiburi asiyeshaurika na asiyetubu ni kwa faida ya nani?Anayoyafanya ni kwa faida ya nani?
Kauli iliyojaa ubinafsi na kiburi hiiMnadanganyana sana bavicha kujipa moyo.
Vyovyote iwavyoHalafu!?
Good move!Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Narudia kwa herufi kubwa, BAVICHA MNADANGANYANA SANA.Kauli iliyojaa ubinafsi na kiburi hii
Kaongea tayar au bado mbona unampangia mambo ya kuongea wewe subir azungumze kwanza ndio utokwe mapovuTanzania sio salama kuishi ukilinganisha na nchi gani? Mwanzo nilijisikia vibaya kwa uhuni alio fanyiwa na attempt ya kumuua iliyo shindwa, lakini huku anapo elekea siko. Huwezi kuwa unawaza kuisema nchi tena ugenini. Huko Ulaya au nchi zingine si kwamba hakuna madhaifu, lakini wakienda nje wanaeleza mazuri, madhaifu wanabanana humo kuyashughulikia. Hakuna nchi inaongoza kupigwa watu risasi hovyo kama US , lakini hutasikia CNN au vyombo vyao vingine vikitangaza hayo!!!! Tundu lissu ni janga, kama vipi aishie huko huko ahamie, huu ni uhaini, akirudi hapa atubu au amalizwe!!! Shabaash
Niwakufikirika kwa maana kiwa si halisi?Kwa maana hiyo Lissu hakupigwa Lisasi?.Kwa hiyo unaifananisha Tanzania na SA ya makaburu ww? Unajua kilichokuwa kimafanywa na makaburu kwa weusi aisee..labda na ww nikuulize ulikuwa na umri gani maana unashindwa kukumbuka namna wale jamaa walivyokuwa wanawateketeza wenzetu. Ule ulikuwa ni ubaguzi wa rangi uliozidi kipimo. Hapa ni tofauti..huo utesaji mnaoshikia bango ni wa kifikirika zaidi..
Muungano wa TANGANYIKA na ZANZIBAR.Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Hata akiondolewa wataibuka wengine mkuu,unadhani lissu atakuwa mtu Wa kwanza kuondolewa?akili Yangu ndogo inaniambia badala kuhangaika na Lissu tungetulia tu huku tunajiuliza why haya yanatutokea na nini tufanye haya yasitutokee tena full stopSijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Tundu Lissu ni janga la Taifa kabisa. Huyu mtu akirudi asivute Pumzika ya Nchi hata mwezi. Ni mpuuzi, lofa, mpumbavu , mjinga na mbinafsi. Anayoyafanya ni kwa faida ya nani? Aangalie hao wanaomtembelea juenda wana mambo mengi nyuma ya pazia, maana tumeambiwa TL hana ndevu na kanenepa mnoo kwa kula tu mikuku huku akiwa kalala.