Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hawa makamanda wana mawazo ya kitumwa sana. Kwa kifupi ni malofa.Mtazamo na mawazo ya kitumwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa makamanda wana mawazo ya kitumwa sana. Kwa kifupi ni malofa.Mtazamo na mawazo ya kitumwa!
Hao si wajomba wa wale wa makinikia!!!Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Chachu ya ukombozi haiwezi kuletwa toka Ulaya. Kama inaletwa basi itakuwa imebebwa kichwani kama furushi la nazi. Sijui itafika lini.Tundu Lisu awe chachu ya ukombozi
Bado hajawajua wazungu, na sasa ndio atawajua vizuri.Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Wewe ni mjinga wa Kimataifa. Ndio nyie Trump anawaita assholes!! Bahati nzuri mmebaki wachache, wengi wapo na Lissu.Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Haisaidii, mnapoteza muda wenu bure, miti yote inatereza; jipangeni kutoweka ktk siasa ili msiumie sanaMhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Lissu ana slavery mentality anafikiri mabwana zake watakuja kutulazimisha kufanya anayotaka msaliti Lissu!!Huyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa
Good comments!!Tanzania sio salama kuishi ukilinganisha na nchi gani? Mwanzo nilijisikia vibaya kwa uhuni alio fanyiwa na attempt ya kumuua iliyo shindwa, lakini huku anapo elekea siko. Huwezi kuwa unawaza kuisema nchi tena ugenini. Huko Ulaya au nchi zingine si kwamba hakuna madhaifu, lakini wakienda nje wanaeleza mazuri, madhaifu wanabanana humo kuyashughulikia. Hakuna nchi inaongoza kupigwa watu risasi hovyo kama US , lakini hutasikia CNN au vyombo vyao vingine vikitangaza hayo!!!! Tundu lissu ni janga, kama vipi aishie huko huko ahamie, huu ni uhaini, akirudi hapa atubu au amalizwe!!! Shabaash
Kwa wale wakristo, rejeeni kwenye biblia zenu. Ukristo uliingia Roma kwa kupitia Paulo.Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Acha umandazi, yaani mtu kusema ukweli kuwa walitaka kumuua ni kuichafua nchi? Kama ndivyo mbona wasingedili naye kwa njia nyingine? Alafu watu hao hao wamegoma hawataki upelelezi wa kimataifa ufanyike, nadhani alipaswa awafuate walipo na siyo asubiri wamfuate yeye.Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Mtasubiri sana tu!!Pole sana mjomba , game ndio kwanza inaanza .
Mtu mwenye akili timamu hawezi fanya ayafanyayo TS na hata kusapoti! Matatizo ya nyumbani unayapeleka kwa jirani, si uhamie tu huko utuache na nyumba yetu!Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
HovyoooooHuyu mpuuzi Lissu kawa mwiba kwa nchi yetu, anaichafua kwa faida ya nani?
Hata kama kuna udhaifu ndani ya nyumba, ni uhayawani kuanza kubwabwaja mtaani. Akirudi wammiminie risasi hata 1000 hana faida kabisa