Uchaguzi 2020 Lissu kulitikisa jiji la Arusha Ijumaa, shughuli mbalimbali zitasimama kwa muda

Uchaguzi 2020 Lissu kulitikisa jiji la Arusha Ijumaa, shughuli mbalimbali zitasimama kwa muda

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!

Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
 
Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!

Tukutane Kimandoluuuuu hadi Moshi mjini!
JamiiForums-1967701757.jpg
 
Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!

Tukutane Kimandoluuuuu hadi Moshi mjini!
Rais wetu wa mioyo huyo, mwaka 2015 tulikuwa na EL mafuriko yalikuwa zaidi ya haya.

Hihihihi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!

Tukutane Kimandoluuuuu hadi Moshi mjini!
mbeya atakuja Lin mkuu?
 
Ungejua mifumo tuliyoweka! Tuliwatega mkaingia kama mafisi yaliyotegwa kwa minofu
Subiri tarehe hiyo ndiyo utajua nchi hii ina watu makini. Si umeona kwenye corona umeshindwa kuendelea kutangaza vifo!!
 
Bwana yule ameona akishusha maagizo kama aliyokuwa akiyashusha kabla ya ujio wa Lissu atajichimbia kaburi lake mwenyewe kaamua kuufyata, hataki hata kutazama TV maana atakufa kwa presha akiona watanzania walivyomchoka na sasa wameona chaguo la Mungu limerejea nchini kila mahala wanatoka kumlaki Lissu
 
Subiri tarehe hiyo ndiyo utajua nchi hii ina watu makini. Si umeona kwenye corona umeshindwa kuendelea kutangaza vifo!!
Hizi IDs zenu za Lumumba zinapata tabu sana kipindi hiki, mtakufa na msongo wa mawazo, Lissu hazuiliki, mnakazana kumtetea mtu asiyekubalika na watanzania, Lissu ndiye chaguo sahihi la watanzania, anapendwa, halazimishi watu wamsifie kama Magu
 
Back
Top Bottom