Uchaguzi wa huru na haki, Lissu anapita.Yaani huu ni ujinga kuamini TL anashinda uchaguzi, labda kwa mapinduzi. Ila hata bila kuiba Magufuli anashinda.
Uchaguzi ni mchakato sio mafuriko ya wafuasi. Unaanzia kwenye mashina mpaka juu, pia kuna ishu ya uboreshaji wa daftari la kupigia kura, naamini kabisa wakati haya yakifanyika vijana wengi wa upinzani hawakuwa na awareness kubwa, wakati huo ccm wao wameliboredha hilo dafrtari kwa weledi mzuri mno kupitia uhamasishaji wa wenyeviti wa vijiji ambapo chadema walizira wakati wa uchaguzi wao.
Hapo ndo shida inapoanzia
Huu kama ni UDIKTETA tutapambana kwa nguvu ili udumu maana tumeona matunda yake.Ijumaa mchana kishindo kikubwa kinatua Arusha. Ni Tundu Lissu "The chosen" atasambaratisha shughuli nyingi kwa muda wa masaa matatu. Pale atakapotafuta wadhamini kwa ajili ya kupeleke uelekeo mpya nchini na kuufuta udikteta unaotaka kuchipua!
Tukutane Kimandolu hadi Moshi mjini!
Ni yeyeNi Tundu Lissu, Rais 2020
Yaani huu ni ujinga kuamini TL anashinda uchaguzi, labda kwa mapinduzi. Ila hata bila kuiba Magufuli anashinda.
Uchaguzi ni mchakato sio mafuriko ya wafuasi. Unaanzia kwenye mashina mpaka juu, pia kuna ishu ya uboreshaji wa daftari la kupigia kura, naamini kabisa wakati haya yakifanyika vijana wengi wa upinzani hawakuwa na awareness kubwa, wakati huo ccm wao wameliboredha hilo dafrtari kwa weledi mzuri mno kupitia uhamasishaji wa wenyeviti wa vijiji ambapo chadema walizira wakati wa uchaguzi wao.
Hapo ndo shida inapoanzia
Hawatakuelewa!!Yaani huu ni ujinga kuamini TL anashinda uchaguzi, labda kwa mapinduzi. Ila hata bila kuiba Magufuli anashinda.
Uchaguzi ni mchakato sio mafuriko ya wafuasi. Unaanzia kwenye mashina mpaka juu, pia kuna ishu ya uboreshaji wa daftari la kupigia kura, naamini kabisa wakati haya yakifanyika vijana wengi wa upinzani hawakuwa na awareness kubwa, wakati huo ccm wao wameliboredha hilo dafrtari kwa weledi mzuri mno kupitia uhamasishaji wa wenyeviti wa vijiji ambapo chadema walizira wakati wa uchaguzi wao.
Hapo ndo shida inapoanzia
Hatushangai hata wakati wa Mugabe, Zimbabwe ilikuwa hivyohivyo. Madikteta wakiishachemsha huwashika uchawi majirani.Udikteta sasa basi! Yaani hata kusikiliza BBC Radio imekuwa ni uhaini