Pre GE2025 Lissu, kuna baadhi ya mambo busara inakutaka usiyazungumze in Camera mpaka inapokulazimu kufanya hivyo

Pre GE2025 Lissu, kuna baadhi ya mambo busara inakutaka usiyazungumze in Camera mpaka inapokulazimu kufanya hivyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa muda mrefu sana nimewaasa CDM kwamba ni wakati Mbowe aondoke.
Mbowe ameishiwa mbinu hana nguvu za uongozi wala maono mapya.

Mbowe anafahamu chaguzi huleta matatizo kwa vyama vyote, kwa uzoefu wa siku za nyuma na kwingine.

Uchaguzi wa kanda ya nyanda za juu ulikuwa na kila dalili ya kuanza matatizo, haukutakiwa kufanyiwa mzaha.
Ni ima Mbowe alitaka au alikaa kimya ili kutaka. M/Kiti Mbowe alivyosimamia suala hilo ni hovyo sana.

Baada ya Msigwa kuhama Mbowe akijitokeza kutoa kauli '' kuwa upinzani si kazi rahisi''
Ni moja ya kauli za kipuuzi kwasababu alitakiwa azuie madhara na si kuja kudanganya watu na vimameno

Ni maneno ya hovyo kama aliyosema '' Ukraine ipo vitani na Russia lakini wanaongea kuhusu suluhu' akishadidia maridhiano ya kipuuzi yaliyoishia na aibu kwake kwa kutapeliwa kitoto.

Tuhuma za TAL kuhusu rushwa ni kubwa na zinapaswa kuwa addressed. Mbowe kajificha mtifuano ukiendelea.

Alijificha katika chaguzi nyingine hadi akina Lema wakajitoa.
Kwa ufupi kuna kila dalili Mbowe ana '' orchestrate' haya mambo kwa faida anazozijua

Mbowe amekuwa Mwenyekiti kwa miaka 30 hana sababu za kuendelea.
Ikiwa katiba na anataka, Mbowe akubali ushindani na aache kutumiaVijana kuzua '' frustrations'

Mzee Mtei hakukaa miaka 30, Bob Makani hakukaa miaka 30, ' 'MBOWE MUST GO'

Mbowe akiwa Magereza CDM ili imarika kama taasisi tena TAL akiwa nje.
Harakati za katiba zilipamba moto. Mbowe alipotoka na kukimbilia Ikulu kila jambo limevia!
Mbowe ni polazrizing figure, he must go.

Habari za kurudi kwa COVID 19 '' behind the scenes'' Mbowe anaziingiza kiani! Huo ni ukweli
Mnakumbuka aliposema wiki chache zilizopita ''... ni wakati watu wasameheane katika chama..''

CDM kama mnataka chama imara, simameni katika ukweli.
Msitafute mchawi CCM au JF, mkabilini Mwenyekiti na kumwambia ukweli. Thank you for everything, it's time you pack an go.! Mbowe anapasua chama akitumia kikundi cha Vijana wake wasiotaka ukweli.

Pascal Mayalla JokaKuu
Best writing ever! Sasa Mbowe aende wapi? Awe mzee wa Chama?? Maana nje ya uenyekiti inawezekana fursa hakuna
 
Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwa ajili ya watu kulinda vyeo. It's for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote. Ukiona Lisu kaamua kutoka na kusemea nje ujue huko ndani kuna uhuni. Nina imani na Lisu akiwa cdm, au chama kingine lakini isiwe ccm.
Lissu anakosa busara na kila uchao namuona akuzidi kupungua na si kuongezeka.

Anachokifanya Lissu ni kulazimisha nafasi ya kugombea uRais apewe iwe iwavyo.

Lissu zaidi ya risasi alizopigwa hana jioya,lugha yake imekosa stara,uwasilishaji wake wa hoja umokosa mvuto kwasababu anatumia lugha ya matusi & dharau pasipo sababu za msingi.
 
Lissu anakosa busara na kila uchao namuona akuzidi kupungua na si kuongezeka.

Anachokifanya Lissu ni kulazimisha nafasi ya kugombea uRais apewe iwe iwavyo.

Lissu zaidi ya risasi alizopigwa hana jioya,lugha yake imekosa stara,uwasilishaji wake wa hoja umokosa mvuto kwasababu anatumia lugha ya matusi & dharau pasipo sababu za msingi.

Basi wewe una akili na busara kumzidi.

Ndiyo maana wabongo mnachezewa na CCM kwa sababu mko tayari kutetea ufisadi kama ufisadi huo unafanywa na mnayempenda.

Mko tayari kuuona wizi ni akili kama wizi huo unafanywa na mnayempenda.

Lissu anawaeleza ukweli kuwa chama kinanuka rushwa, badala mkasirike na mkikomalie chama kijirekebishe nyie mnamtundika mishale!
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte
Leo umemuona Lissu wako!!!! Mdogo mdogo utamwelewa. Tulikueleza kuwa hafai wewe ukatuona hayawani
 
Mbowe anaangalia ni nani ndani ya familia yake anafaa kumuachia uwenyekiti wa chama
 
Leo umemuona Lissu wako!!!! Mdogo mdogo utamwelewa. Tulikueleza kuwa hafai wewe ukatuona hayawani
ANAFAA SANA TENA SANA. LISU SI MALAIKA AMETELEZA KIDOGO LAKINI BADO YUKO KWENYE MSINGI MKUU KUKATAA RUSHWA.
 
Binadamu tunatofautiana sana uoni, haya watu mnayasema leo, niangalieni mimi mwenzenu niliyasema lini CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! humo nilisema
Ushauri huu ulitolewa 2010, ungefuatwa , 2015 ilikuwa Chadema inatinga ikulu!.
P
Contradiction el minis terminis- this is contradiction as to your own terms, wewe unamaandiko mengi kuhusu hili yanayokinzana. Huaminiki!
 
Lisu ameongea ukweli, tabia za kuogopa kusema ukweli ziko huko ccm kwa ajili ya watu kulinda vyeo. It's time for Mbowe to go. Yeye ndio sababu ya hii sintofahamu. Lisu ninayemjua mimi sio huyo wa kunyamizia utopolo muda wote. Ukiona Lisu kaamua kutoka na kusemea nje ujue huko ndani kuna uhuni. Nina imani na Lisu akiwa cdm, au chama kingine lakini isiwe ccm.
Kuna mengine ukitka kujenga usiyaseme hadharani. This is my point! Ukimkuta mke wako anazini, huwezi kusema eti ni ukweli. Never! scenario hiyo ichukue mpaka kwenye mambo mengine vle vile ambayo ni sensitive!
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

All in all you have my support until then! Erythrocyte
Kwaiyo kama kuna rushwa akae kimya hiyo ndo busara?
 
Lissu anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ili akirudishe kwenye misisngi yake, sio huyo Mbowe vuguvugu. Na CHADEMA itadondoka kutokana na kiburi Cha Mbowe.
Misingi ipi imeachwa? Mbowe yuko vuguvugu ipi? Unataka confrontational politics? Wakati utafika hata wa kwenda msituni, lakini lazima uanze na dialogue! Naunga mkono sisa za Mbowe
 
Rushwa inakemewa hadharani, hiyo ni ishara tosha ya kuikataa.
True, lakini inategemea ni wakti gani wa kuikemea hadharani. Chadema wana hasimu mkubwa CCM, he will bank on that. Wangeongea kwenye vikao vyaoakamwaga radhi kisawasawa, siyo hivi alivyofanya! CCM wameshapata pa kusemea at the detriment of chadema.
 
Contradiction el minis terminis- this is contradiction as to your own terms, wewe unamaandiko mengi kuhusu hili yanayokinzana. Huaminiki!
Politics ni science, political science inafuata scientific research ya postulates and proofs.
Politics is the game of chance, hivyo inafuata kanuni za probability.
Politics is relative hivyo zinafuata kanuni za relativity
Kwenye maandiko yangu contradictions ni part and parcel of the probability ya Politics, mfano wengi wanaamini mgombea urais wa CCM 2025 ni Rais Samia, I think other wise, nimemtaja Dr. Mwinyi, Nimemtaja Dr. Mpanga, Nimemtaja Dr. Tulia, and the numbers goes on na hakuna contradictions.
-
- Kuelekea 2025 - Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Hivyo nimewataja watu wanne na hakuna contradiction yoyote.

P
 
True, lakini inategemea ni wakti gani wa kuikemea hadharani. Chadema wana hasimu mkubwa CCM, he will bank on that. Wangeongea kwenye vikao vyaoakamwaga radhi kisawasawa, siyo hivi alivyofanya! CCM wameshapata pa kusemea at the detriment of chadema.
Ukiona katoka nje na kusema ujue huko ndani haeleweki.
 
Unakosea.Lissu ameamua kubaki upande wa kukubali kukosea.Kuna kitu anakijua na hapendi kimtafune.
Lisu ni muhujumu na huenda anapanga uhaini kwenye taasisi yake mwenyewe 🐒

kulikoni uketi upande wa mti unaoukata ili uanguke nao mwenyewe?

ni akili gani anatumia?, eti halafu ni kiongozi muandamizi..

tunasema everytime, everyday Lisu na Mbowe wanaogopana, wanaoneana aibu, hawazungumzi vizuri, hawa wangwana wanakipasua na kukigawanya chama....

lakini mmekalia kushupaza shingo zikatike kwa kudai hakuna tatizio,
haya sasa Makamu mwenyekiti taifa analilia rushwa ndani ya chama, sio nje,

anamlalamikia nani sasa, na yeye ni kiongozi muandamizi na tena mwanasheria mbobevu badala ya kuchukua hatua...

kiongozi kama huyo anaweza kuongoza nini sasa kama hawezi kusaidia kukabiliana, kuchukua hatua na kuitokomeza rushwa kwenye taasisi yake?🐒

useless leadership 🐒
 
ANAFAA SANA TENA SANA. LISU SI MALAIKA AMETELEZA KIDOGO LAKINI BADO YUKO KWENYE MSINGI MKUU KUKATAA RUSHWA.
Pamoja na kupiga kelele (capital letters), used amuelewa tu
 
Lissu anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ili akirudishe kwenye misisngi yake, sio huyo Mbowe vuguvugu. Na CHADEMA itadondoka kutokana na kiburi Cha Mbowe.
mbowe ni opportunistic .

lema mwenyewe ile 900 million akiikumbuka anajuta kutoichukua.hahahahaa
 
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko ulivyojibu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Tuhuma za Msigwa kwa CHADEMA zichunguzwe, sisi si Malaika

SIKIA BUSARA ZA NYERERE
Mwandishi wa habari alimuuliza Nyerere kuwa kuna habari/tetesi kuwa unataka kuipindia serikali ya Rais Mwinyi. Wakataka comment zake/ afafanue kuwa anataka kuipindua serikali ya Rais Mwinyi. Nyerere alichukia kuulizwa ujinga kama huo. AKAMJIBU HIVI/AKAMUULIZA SWALI HUYO MWANDISHI HIVI

"UKIAMBIWA KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO UTAENDA KUANDIKA FRONT PAGE HABARI HIYO?"

na mkutano ukaisha hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

TAKE NOTE; Mpaka leo hakuna anyejua kwanini Knna alijiuzulu, haya ni mambo ya ndani. ukiyeweka hadharani utaleta mpasuko

All in all you have my support until then! Erythrocyte
You want him to use his wisdom because his words threatening Your be loved party?
Tell us if he is right or night?
 
Back
Top Bottom