Ndugo MOTN, mengi ulitoyasema yana ukweli , na usiwasikilize wala kuwajibu hao bendera kama akina Salary Slip.
Naomba nikusahihishe au nikuongezee UKWELI mchezo ulivyo mpana kuliko unavyouona.
Lissu alikuwa mmoja wa waliotumia Nguvu zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo zitakazo muangusha naye. Mtego wa Panya....,
Zaidi ya hivyo hata ACT hawantaki, kuna mpango wa pamoja kati ya Mbowe na Zitto kuhakikisha wanamzima Lissu, Zitto anamchukia sana Lissu zaidi ta Mbowe, Mama yake Zitto alipifariki watu waliowashawishi chadema wasihudhurie mazishi ya mama Zitto, ambaye alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chadema, walikuwa Dr Slaa na Lissu ndio waliokuwa wakali sana.
Pia wenye Chadema na hata Zitto wanaogopa Lissu akibahatika akawa raisi , basi atakuwa mkali zaidi ya JPM, na hatawasikiliza wala kupokea ushauri.
LISSU, fursa aliyokuwa nayo ni kujiunga na NCCR au vyama vingenevyo, na nina uhakika kwa nguvu zake pekee atakiunua chama chochote atakachojiunga nacho.