Uchaguzi 2020 Lissu, kuna kila dalili wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee urais, kama vipi twen'zetu ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Lissu, kuna kila dalili wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee urais, kama vipi twen'zetu ACT Wazalendo

Ndugo MOTN, mengi ulitoyasema yana ukweli , na usiwasikilize wala kuwajibu hao bendera kama akina Salary Slip.

Naomba nikusahihishe au nikuongezee UKWELI mchezo ulivyo mpana kuliko unavyouona.

Lissu alikuwa mmoja wa waliotumia Nguvu zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo zitakazo muangusha naye. Mtego wa Panya....,

Zaidi ya hivyo hata ACT hawantaki, kuna mpango wa pamoja kati ya Mbowe na Zitto kuhakikisha wanamzima Lissu, Zitto anamchukia sana Lissu zaidi ta Mbowe, Mama yake Zitto alipifariki watu waliowashawishi chadema wasihudhurie mazishi ya mama Zitto, ambaye alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chadema, walikuwa Dr Slaa na Lissu ndio waliokuwa wakali sana.

Pia wenye Chadema na hata Zitto wanaogopa Lissu akibahatika akawa raisi , basi atakuwa mkali zaidi ya JPM, na hatawasikiliza wala kupokea ushauri.

LISSU, fursa aliyokuwa nayo ni kujiunga na NCCR au vyama vingenevyo, na nina uhakika kwa nguvu zake pekee atakiunua chama chochote atakachojiunga nacho.
Haya Ni majungu,Leo lissu anapendwa duh.nimenusa kitu kwenye comment hii, zitto amchukie zaidi lissu kuliko hats mbowe, duh....kawadanganye huko
 
Ngoja tuone hili picha mwisho wake bt nahisi wengine wamechukua form ili watengeze cv wengi tu wanahamu na ubunge wao
Mkuu huwezi omba cheo cha urais kupitia chama chako kisha 100% uamini unapita huo utakuwa sio uchaguzi, hats magu ndani ya ccm hakujua kama atapitishwa, kumbukeni alisema alibipu tu....hii dhana ya kugombea kwa sababu nimehakikishiwa na chama Ni ujinga.
 
Huwa najiuliza. Hivi Lisu akirudi hata kufanya kampeni tu hawatamkamata?
 
Pili, kitendo cha Mwenyekiti kuchukua fomu wakati tunajua by all means hana nia ya urais, sisi tunajua na yeye anajua, inalenga kufanya mahesabu yako ndani ya Chadema kupata hiyo nafasi kuwa ngumu, maana kiukweli mwenyekiti anaungwa mkono kuliko wewe ndani ya Chama, na there is no way unaweza kumshinda mbele ya wajumbe kwenye mkutano mkuu.
Kwani ni kweli Mwamba kajaza fomu ya kutia nia ya kugombea uraisi wa JMT? Mbona hili bado haliko wazi.

 
Kila dalili ndani ya Chadema zinajionyesha, brother Lissu wenye Chadema yao hawakutaki ugombee urais kupitia chama hicho. Wangekutaka wangekupa hata signal ya kuwa wako nyuma yako katika kinyang'anyiro hiki.

Kuna sauti mitandaoni Godbless Lema anasema "umeanza kujiweka katika tune ya ugombea urais", yaani umeshaanza kujiaminisha kuwa wewe ni mgombea, hii ni dalili ya kwanza kwamba brother bado hauna baraka za wenye chama chao kugombea.

Pili, kitendo cha Mwenyekiti kuchukua fomu wakati tunajua by all means hana nia ya urais, sisi tunajua na yeye anajua, inalenga kufanya mahesabu yako ndani ya Chadema kupata hiyo nafasi kuwa ngumu, maana kiukweli mwenyekiti anaungwa mkono kuliko wewe ndani ya Chama, na there is no way unaweza kumshinda mbele ya wajumbe kwenye mkutano mkuu.

Kitendo cha Msingwa naye kuchukua fomu wakati naye tunafahamu fika hawezi kumchallenge Magufuli head on ni dhahiri umewekwa mtu kati, chance zako za kuwa mgombea zimeminywa kutokana na move hizi tunazoziona.

Nguvu zilezie zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo it seems zinataka usigombee this time.

Wewe Lissu, watu wana biashara zao, wana mipango yao ya hela pembeni, wengine siasa ni mtaji, unadhani wakipewa dili wakuzuie usigombee wanaumia chochote?

Aisee utakatwa kupitia mchakato feki ndani ya chama utakaopewa jina la demokrasia na wewe utashangaa!

Sisi wananchi tunajua wewe na Membe ndiyo mlioutaka Urais mapema kabisa na tunawajua na tunaamini. mmoja kati yenu ndo angeweza kumchallenge jiwe, Yaani Membe ndani ya CCM na wewe nje ya CCM.

Karata ya Membe huko CCM imeshatolewa mchezoni kimafia, umebaki wewe nje ya CCM. na lazima uchezewe mchezo uleule lakini hukohuko ndani ya upinzani! Kuna kitu kigumu mbele ya Fedha?

Sasa jiandae, kama unautaka Urais uwe tayari kushusha Tanga na kupandisha Tanga kwa kwenda ACT.

Kuna kila dalili ya wenye Chadema yao kwenye chama chako hawajawa na msimamo kuwa wewe uwe mgombea!

Endelea kujipanga na ujiandae kisaikolojia. Wewe unaweza kuwa real, lakini kuna baadhi ya watu uchaguzi ni dili.
Something is telling me, ugombea wa Tundu Lissu Chadema Could it be ni just a Pacemaker?.
Haiwezekani Lissu atangaze kugombea hala Mwenyekiti wake naye awanie!.
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
P
 
Kila dalili ndani ya Chadema zinajionyesha, brother Lissu wenye Chadema yao hawakutaki ugombee urais kupitia chama hicho. Wangekutaka wangekupa hata signal ya kuwa wako nyuma yako katika kinyang'anyiro hiki.

Kuna sauti mitandaoni Godbless Lema anasema "umeanza kujiweka katika tune ya ugombea urais", yaani umeshaanza kujiaminisha kuwa wewe ni mgombea, hii ni dalili ya kwanza kwamba brother bado hauna baraka za wenye chama chao kugombea.

Pili, kitendo cha Mwenyekiti kuchukua fomu wakati tunajua by all means hana nia ya urais, sisi tunajua na yeye anajua, inalenga kufanya mahesabu yako ndani ya Chadema kupata hiyo nafasi kuwa ngumu, maana kiukweli mwenyekiti anaungwa mkono kuliko wewe ndani ya Chama, na there is no way unaweza kumshinda mbele ya wajumbe kwenye mkutano mkuu.

Kitendo cha Msingwa naye kuchukua fomu wakati naye tunafahamu fika hawezi kumchallenge Magufuli head on ni dhahiri umewekwa mtu kati, chance zako za kuwa mgombea zimeminywa kutokana na move hizi tunazoziona.

Nguvu zilezie zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo it seems zinataka usigombee this time.

Wewe Lissu, watu wana biashara zao, wana mipango yao ya hela pembeni, wengine siasa ni mtaji, unadhani wakipewa dili wakuzuie usigombee wanaumia chochote?

Aisee utakatwa kupitia mchakato feki ndani ya chama utakaopewa jina la demokrasia na wewe utashangaa!

Sisi wananchi tunajua wewe na Membe ndiyo mlioutaka Urais mapema kabisa na tunawajua na tunaamini. mmoja kati yenu ndo angeweza kumchallenge jiwe, Yaani Membe ndani ya CCM na wewe nje ya CCM.

Karata ya Membe huko CCM imeshatolewa mchezoni kimafia, umebaki wewe nje ya CCM. na lazima uchezewe mchezo uleule lakini hukohuko ndani ya upinzani! Kuna kitu kigumu mbele ya Fedha?

Sasa jiandae, kama unautaka Urais uwe tayari kushusha Tanga na kupandisha Tanga kwa kwenda ACT.

Kuna kila dalili ya wenye Chadema yao kwenye chama chako hawajawa na msimamo kuwa wewe uwe mgombea!

Endelea kujipanga na ujiandae kisaikolojia. Wewe unaweza kuwa real, lakini kuna baadhi ya watu uchaguzi ni dili.
Ile movie unahusika kuitengeneza?

Mbona umekuja mbio sana kuielezea huku na kuhuisha mambo?
 
Kwahiyo makosa yaliyoko ccm yanahalalisha yanayofanyika chadema?

Humo vichwani mwenu uwa mmejaza takataka gani?
Umeshaona "nudii" za Mwenyekiti na "kisarawe"? Mwenyekiti wenu mzinzi sana, yeye ni ngono tu muda wote kichwani mwake.
 
Mgombea urais kupitia chadema jina lipo mfukoni mwa mwenyekiti anasubiriwa yule mwenye dau kubwa mwanzo walilengwa Kinana na Membe si unajua tena zile fedha za libiya
Eti, "....kuna kila dalili kuwa wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee Urais....."

Aisee, hii ni kauli ya kuchochea hisia za wana - CHADEMA ili kuwagawanya tu....!!

Na Mimi naamini kabisa kuwa hata kama kina Msigwa, Nyalandu na huyu umsemaye japo kiukweli wala hajatia nia hiyo wasingetia nia ya kugombea na kumuacha mtu mmoja (Tundu Lissu) pekee, wala msingekosa maneno ya kusema....

Nakuhakikishia Tundu Lissu ndiye atakayepambana na mgombea wa CCM na ataungwa mkono na ACT WAZALENDO na vyama vingine kwa Urais wa JMT.....!!
 
Lissu alishasema chama wakinipa nafasi ya kupepeprusha bendera.Sisi sio Kama ccm hata angechukua fomu pekeake angepigiwa kura za Ndio/hapana Kama kwa Sumaye uchaguzi uliopita.Kwa hiyo wengi kuchukua fomu haimaanishi kwamba hawamtaki Lissu Wala Mwenyekiti kuchukua fomu haimaanishi Lissu hakubariki.Hii Ndio demokrasia nanhata nafasi za ubunge wa ndani Kuna wabunge ambao huwadhanii wanaweza kupigwa chini kutokana na Sina ya watu wakakao wachallenge kwenye majimbo.

ACT wazalendo pia Wana nafasi ya kusimamisha mgombea wakitaka Ila sio Lissu.Lissu hahami kwenda popote.Lissu anaweza kugombea Tena Cha CDM miaka mitano ijayo.Usitake kuleta siasa za uchonganishi hapa
Hujui kitu wewe. Kaa kimya
 
Huwa na mashaka sana na wewe kama kweli unataka kuona upinzani nchi hii unaimarika.

No, I think he has a point!
Kila nikifikiria move ya mwenyekiti kuingia kwenye kinyang'anyiro hichi najiuliza maswali haya:
1. Kuonyesha kwamba CDM imekomaa kidemokrasia? Kwa kweli hili linanipa mashaka sana, kwa vile kusingekuwa na haja ya mwenyekiti kuwa miongoni mwao. Kwa hili wagombea watatu wangetosha.
2. Kwamba mwenyekiti na wengine wamekata tamaa ya kutoupata ubunge na hivo labda wameamua kutafuta jinsi ya kutokea ? Inawezekana. kama ni hili, CDM inalichukuliaje hili?
3. Kwamba mwenyekiti ana nia ya kugombea uraisi kweli kweli na kina Lissu na Nyalandu ni 'wasukumaji'? Hili pia linawezekana.
Vyovyote vile muda utatongoa! lets wait and see.
 
Kila dalili ndani ya Chadema zinajionyesha, brother Lissu wenye Chadema yao hawakutaki ugombee urais kupitia chama hicho. Wangekutaka wangekupa hata signal ya kuwa wako nyuma yako katika kinyang'anyiro hiki.

Kuna sauti mitandaoni Godbless Lema anasema "umeanza kujiweka katika tune ya ugombea urais", yaani umeshaanza kujiaminisha kuwa wewe ni mgombea, hii ni dalili ya kwanza kwamba brother bado hauna baraka za wenye chama chao kugombea.

Pili, kitendo cha Mwenyekiti kuchukua fomu wakati tunajua by all means hana nia ya urais, sisi tunajua na yeye anajua, inalenga kufanya mahesabu yako ndani ya Chadema kupata hiyo nafasi kuwa ngumu, maana kiukweli mwenyekiti anaungwa mkono kuliko wewe ndani ya Chama, na there is no way unaweza kumshinda mbele ya wajumbe kwenye mkutano mkuu.

Kitendo cha Msingwa naye kuchukua fomu wakati naye tunafahamu fika hawezi kumchallenge Magufuli head on ni dhahiri umewekwa mtu kati, chance zako za kuwa mgombea zimeminywa kutokana na move hizi tunazoziona.

Nguvu zilezie zilizoamua Dr Slaa asiwe mgombea mwaka 2015 unfortunately ndiyo hizo hizo it seems zinataka usigombee this time.

Wewe Lissu, watu wana biashara zao, wana mipango yao ya hela pembeni, wengine siasa ni mtaji, unadhani wakipewa dili wakuzuie usigombee wanaumia chochote?

Aisee utakatwa kupitia mchakato feki ndani ya chama utakaopewa jina la demokrasia na wewe utashangaa!

Sisi wananchi tunajua wewe na Membe ndiyo mlioutaka Urais mapema kabisa na tunawajua na tunaamini. mmoja kati yenu ndo angeweza kumchallenge jiwe, Yaani Membe ndani ya CCM na wewe nje ya CCM.

Karata ya Membe huko CCM imeshatolewa mchezoni kimafia, umebaki wewe nje ya CCM. na lazima uchezewe mchezo uleule lakini hukohuko ndani ya upinzani! Kuna kitu kigumu mbele ya Fedha?

Sasa jiandae, kama unautaka Urais uwe tayari kushusha Tanga na kupandisha Tanga kwa kwenda ACT.

Kuna kila dalili ya wenye Chadema yao kwenye chama chako hawajawa na msimamo kuwa wewe uwe mgombea!

Endelea kujipanga na ujiandae kisaikolojia. Wewe unaweza kuwa real, lakini kuna baadhi ya watu uchaguzi ni dili.
Hivi Tundu hajui kutafsiri hata picha ?
 
Wewe huoni kuwa badala ya sasa kumpa ushirikiano mtu anayeweza kumchallenge Magufuli wao wanaanza kujifanya wanachokua fomu na kuwachelewesha wananchi kuungana nyuma ya mtu anayeweza kumchallenge Magufuli?
Watu mnashindwa kuwasoma chadema..they are playing a game.Hawataki ccm wawe wamefocus kwa Lissu pekee.They want to confuse them kuwa watamsimamisha nani...
 
Lisu hatapitishwa chadema wamemuomba arudi nchini ili ashiriki mchakato na awe karibu na Wana chadema kakataa anasema apewe uteuzi wa uraisi kwanza ndio atarudi !!! Akina Mbowe wamegoma kushinikizwa na kuburuzwa na Lisu ndio maana wamechukua fomu hawatanii na Wala hawafanyi usanii wako serious ambaye hayuko serious Ni mchungaji msigwa tu
Msigwa ndio anafanya maigizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom