Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kesi binafsi siyo dhidi ya jeshi la polisi hivyo mawakili was serikali haihaiwahusu.Na huyo askari naye asife kikondoo. Ni kuwapiga na counter sue la bilioni tisa kwa kumuharibia jina na usumbufu.
Mawakili wa serikali mko wapi?
Unaweweseka nini ny**Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Kila kukicha mahakamani tu hadi inaboaRais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Hii ni kesi binafsi siyo dhidi ya jeshi la polisi hivyo mawakili was serikali haihaiwahusu.
Binafsi nazidi kuthibitisha ile dhana kwamba wanasiasa ni wazandiki tena wanahubiri wasichokiamini.Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Binafsi nazidi kuthibitisha ile dhana kwamba wanasiasa ni wazandiki tena wanahubiri wasichokiamini.Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Nenda kamtetee mahakamani acha kujilengesha humu."Cops shouldn't be allowed to touch you unless you are committing a crime. However, they may be able to articulate reasonable suspicion of criminal activity based on perhaps public nuisance laws, disturbing the peace etc... ... Most cops are not going to tolerate much mockery, whether they are right or not.Jan 1, 2015![]()
Hawa hawakushtakiwa.
Hiyo Kazi nayo ni hatari bora mwalimuRais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Binafsi nazidi kuthibitisha ile dhana kwamba wanasiasa ni wazandiki tena wanahubiri wasichokiamini.
Huyu mama alipaswa kuonyesha uvumilivu na kutoa somo kwa Baba Jesca. Lkn kama wao wanaweza kukwazwa kirahisi namna hii na wakachukua hatua kali namna hii...., iweje washangae pale mkulu anapochukua hatua dhidi ya wanao mkashifu na kundhalilisha kwa matusi na kejeli..?
Yaonyesha bavicha huko ufipa mmeambiwa kuwa elimu bora ni kingereza fasaha maana mnatiririka na likes kibao, keep it up hommies!!Duh, "abuse of proffession"??????????
Elimu zenu watu wa lumumba mnazijua wenyewe
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Huyu binti wa Rais mstaafu anajitia aibu tu pamoja na huyo Lisu, kama polisi wakiamua kuwashughulikia itakuwa balaa. Basi kama shida yake ni fedha hizo anazodai basiwapo watu wenye hizo shs. bilioni kadhaa watamlipaMtoto wa kike kuzungukwa na njemba nne kumzonga asiongeee.....huo nni kama sio fedheha