Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeshapanic tayari. taratibu tu tutaelewana.
hii ndio njia pekee ya kusimamisha uvunjwaji wa sheria unaofanywa na vyombo vya dola kwa kutumia nguvu
jina lako bila shaka linasadisu siku akishikwa hivyo mama ako mbele yako utatia akiliKwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio kazi yao, tena wanaifurahia kuitenda na kuongeza CV zao.Na muda wanao,mawakili watafuta kiki.
Yaonyesha bavicha huko ufipa mmeambiwa kuwa elimu bora ni kingereza fasaha maana mnatiririka na likes kibao, keep it up hommies!!
Kuelimika sio kujua kizungu mkuu, acha masihara!Unaelimikaje halafu kiingereza tena cha kuandika kinakushinda?!!
Inaonekana kule Lumumba ndio mpo watu wa calibre hiyo maana hata mwenyewe ameona aibu kujibu ila wewe na unazi wa Lumumba umekuja kutetea ukilaza wa huyo mwanalumumba mwenzio!
Inatisha na kusikitisha! Idadi hiyo ya mawakili inatisha kwa wingi wake, ila inasikitisha kwa kuwa implication yake ni kwamba wingi wao ndio akili ikiwa na maana individually wako dull? Ina maana kila mmoja atakuwa anaskariri sentensi yake kwenye hati ya mashitaka au? Hivi kweli wakili mmoja mahiri au hata watatu hawatoshi? Seriously? Au labda fidia ndio inapangiwa matokeo....Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama