Uchaguzi 2020 Lissu kuzungumzia tozo kwa wajawazito Sumbawanga, ni kweli zipo ndugu zangu CCM au anadanganya?

å Sijajua kwanini baadhi ya watu wanabisha kuwa huduma ya matibabu katika hospitali za umma ni za BURE na kamwe siyo ZA KULIPIA....

å Sijajua ni kwanini baadhi ya watu wasio na facts wanabisha kuwa elimu ya Msingi na Sekondari Tanzania siyo BURE bali bado wazazi WALIPIA....!

å Tuite jina lolote lile aidha TOZO au KUCHANGIA GHARAMA nk nk lakini ukweli unabaki kuwa, HAKUNA HUDUMA ya ELIMU wala AFYA inayotolewa bure hapa Tanzania....

å Mtu yeyote anayebishia, aende katika hospitali yoyote ya umma akajionee. Tozo ama gharama unaanza kupambana nazo immediately ufikapo mapokezi...

å Kuna hospitali au vituo vya afya ama zahanati kabla ya kuruhusiwa kumwona daktari, lazima ulipe kati ya Tshs. 5,000 na 10,000.... Hii ni nini kama siyo tozo za matibabu?

Hapo bado hujakutana na gharama za dawa na vipimo mbalimbali....

Ni mateso, mateso, mateso tupu kwa wananchi....!!

Tuwe honest, hakuna cha bure tusidanganyane...
 
.pole sana kiongozi
 
TUSILALAMIKE TUNAPOLIPIA SASA
 
wapinzani karibu mtataka na kuoa iwe bureee an bila mahari
 
Lissu hana cha kuahidi, Magu kashafanya vyote! Ana bwabwaja tu hana sela
Watakae mpa huyu jamaa kura,watakuwa hawako Sawa kichwani.Kwa Sera gani alizonazo, maana kila mkutano ni kulalamika tu. Hatutaki taifa tegemezi, omba omba na lalamishi hapa. Tunataka taifa lenye kujitegemea kwa kupiga kazi tu.
 
Kaanza lini kuhurumia wakina mama?. Saccos yao inaongoza kwa kuwazalilisha wamama zetu, ndio wapate nafasi kwenye uongozi chama.Mpaka mfichwe chini ya sketi ndio viti maalum vitoke shame on you. Watanzania, Oct tusifanye makosa.
 
Watakae mpa huyu jamaa kura,watakuwa hawako Sawa kichwani.Kwa Sera gani alizonazo, maana kila mkutano ni kulalamika tu. Hatutaki taifa tegemezi, omba omba na lalamishi hapa. Tunataka taifa lenye kujitegemea kwa kupiga kazi tu.
Mkuu mbona mwingine analalamika anatukanwa huku hatuoni matusi.
 
Tozo hizo kama zipo ni zile zisizo rasmi, huwezi kupewa EFD kwa tozo hizo. Suluhuhisho siyo kukanusha kuwa hazipo, bali kufuatilia na kuwachukulia hatua wahusika, maana Lisu amesikia kutoka kwa akina mama.
 
Tozo hizo kama zipo ni zile zisizo rasmi, huwezi kupewa EFD kwa tozo hizo. Suluhuhisho siyo kukanusha kuwa hazipo, bali kufuatilia na kuwachukulia hatua wahusika, maana Lisu amesikia kutoka kwa akina mama.
TOZO zipo kila mwana ccm anafahamu hilo.
 
Serikali iweke wazi hizo tozo Sasa. Na wasimame waseme kwa nguvu ileile wanayotumia kudanganywa kuwa kuna elimu bure, wasimame waseme pia kuna tozo za ujauzito.
haitakua siasa kuzungumzia hayo
 
Zipo kwenye ilani au mnaokoteza tu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…