minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Bashite upunguze chuki kwa Tundu ulienda Dodoma kumpiga risasi na kikundi chako akapona ni vyema upunguze chuki maana kutwa upo makanisa usiku kwa waganga wa kienyeji kwa mujibu wa rafiki yako Le mutuz, chagua moja basi kama ni chuki jumla jumla? au ni kuomba uteuzi kwa mtukufu lakini usitumie chuki juu ya Lisu kusaka uteuzi kama yule Tumbili kafulila anavyohaha sasa kutengeneza makala za kila aina ili mtukufu amkumbuke.Naongelea Mtei Mwanzilishi wa Chadema sio Ndesamburo