Uchaguzi 2020 Lissu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa Chadema Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu

Uchaguzi 2020 Lissu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa Chadema Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu

Naongelea Mtei Mwanzilishi wa Chadema sio Ndesamburo
Bashite upunguze chuki kwa Tundu ulienda Dodoma kumpiga risasi na kikundi chako akapona ni vyema upunguze chuki maana kutwa upo makanisa usiku kwa waganga wa kienyeji kwa mujibu wa rafiki yako Le mutuz, chagua moja basi kama ni chuki jumla jumla? au ni kuomba uteuzi kwa mtukufu lakini usitumie chuki juu ya Lisu kusaka uteuzi kama yule Tumbili kafulila anavyohaha sasa kutengeneza makala za kila aina ili mtukufu amkumbuke.
 
Acha uchochezi na uchonganishi, soma ratiba hivi hujasoma RATIBA kwamba bado Lissu yupo sana Arusha? Mbona ccnm mnapenda kufitinisha watu namna hiyo???
 
Kuna mambo hayapo sawa
Hapa umekuja kivingine lakini ujue Bashite huwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa, Abacha, chiluba, Elbashiri, mabutu, Gadafi, Sadam Hussein, Iddy Amin dada leo hii wapo wapi?
 
Acha uchochezi na uchonganishi, soma ratiba hivi hujasoma RATIBA kwamba bado Lissu yupo sana Arusha? Mbona ccnm mnapenda kufitinisha watu namna hiyo???
Bashite anasaka uteuzi kwa udi na uvumba kaamua kutumia kivuli cha Lisu kubahatisha uteuzi
 
Bora hata sisi tuliomlazimisha mama Nyerere kupanda jukwaani.

IMG-20200906-WA0000.jpg
 
Magu huyu aliyetupitisha watz wenzie kipindi cha giza kwa miaka mitano anahangaika tu.
Kamwe hawezi kuja kufanana na Mwalimu Nyerere kwa lolote. hata aende kugalagala kwenye kaburi lake, usiku mzima.
Hakuna Dhambi mbaya kama kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani na sasa ipo dhambi ingine ya hovyo zaidi Dhambi ya kupita bila kupingwa kienyeji kishetani kwa njia haramu.
 
Bashite kila akikaa ni kubuni mada za kumchokonoa Lisu kisha huwatuma Cyprian Musiba na Le mutuz wamwambie mtukufu angalau amkumbuke kwenye uteuzi, tuendelee kumkumbusha Bashite kuwa chuki dhidi ya Lisu ndiyo laana inayemtafuna
 
Ushetani mpya wa kupita bila kupingwa kisha kuwasaka wagombea wa vyama vingine kuwapa Rushwa wajitoe kwenye uchaguzi ndiyo sumu inaitafuna Tanzania, ni vigumu Nchi kupiga hatua endapo tutaendelea kuwa na wabunge wa kupita bila kupingwa kwa njia haramu za kishetani.

Kwani aina hiyo ya wabunge ndiyo huenda Bungeni kugonga meza kwa kusema ndiyooo ndiyoo kila baya na hao hao wa kupita bila kupingwa ndiyo hupitisha Sheria mbovu na mikataba ya hovyo kwa wingi wao Bungeni.
 
Kaacha kwenda kumsalimia mtu mzima kaenda kumsalimia mtu mfu mzee ndesapesa..kweli pesa sabuni ya roho hadi kaburi linaabudiwa kuliko aliye hai.
 
Lisu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa Chadema Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu

Anagombea uraisi bila kupata baraka ya mwasisi wa Chadema atashindwa uchaguzi vibaya mno mapema asubuhi
Hahahaha nikikusoma between the lines, unaonekana umepanic!!
 
Kaacha kwenda kumsalimia mtu mzima kaenda kumsalimia mtu mfu mzee ndesapesa..kweli pesa sabuni ya roho hadi kaburi linaabudiwa kuliko aliye hai.
Nashangaa!!! pale atakuwa alienda kulilia pesa za Ndesamburo na kuzikumbuka!!! Kaacha kusalimia mwanzilishi Mzee Mtei anakimbilia kaburini kwa Ndesamburo!!!
 
Lisu kwenda Arusha halafu akashindwa kwenda kumsalimia mwasisi wa Chadema Mzee Mtei alipoenda ni ukosefu wa adabu.

Anagombea uraisi bila kupata baraka ya mwasisi wa Chadema atashindwa uchaguzi vibaya mno mapema asubuhi.

..lakini mtei hana ushawishi ndani ya cdm.
 
Back
Top Bottom