Lissu: Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu ama rafiki wa kudumu na bora mara mia ya Magufuli kuliko majizi haya

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
" Siasa ni sayansi ya sanaa na huenendana na nyakati. Ndiyo maana kwenye siasa hakuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu vilevile.

" Magufuli pamoja na mabaya yake lakini hakuwa mwizi na mgawa rasimali zetu kama Mkapa, Kikwete na huyu mwizi wa sasa.

" Magufuli kamwe asingekubali kuuza bandari zetu!

" Kama tunavyoyasema mapungufu ya Magufuli hata mazuri yake mengi hasa ya kutokuuza rasimali zetu tutayasema waziwazi mchana kweupe. NA KAMA NI KUMSAMEHE MAGUFULI KWA KIGEZO HICHO, TUTAMSAMEHE."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…