Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.

"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
 
Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika



.
.
.
.
.
.
.
.
.
Labda Nitoe Ufafanuzi Kidogo

Kuhusu Kutumia VITAMBULISHO VYA MAGUFULI kupata MIKOPO Mimi Sijui

ila ipo MIKOPO ya Wajasiriamali


Nimewahi Elekezwa kwenda Ofisi za kata kuwa kuna mikopo inatolewa kwa akina Mama na Vijana Wajasiliamali kupitia Bank ya DCB
Nimefika Nika kutana na Afisa Maendeleo wa kata Bahat nzuri Siku hiyo hiyo ndio ilikua Siku ya Marejesho, hivyo walikuepo watu waliokwisha chukua hiyo mikopo pamoja na Afsa Mikopo wa hiyo Bank na ndie alienipa Sifa na taratibu zoote za mikopo
 
Back
Top Bottom