Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Ujue ukizungumza na kichaa na wewe utaitwa kichaa...Bora Magufuli amnyamazie kwa sababu wananchi tunaelewa A to Z..sanduku la kura ndilo jibu sahihi kwa huyu dogo...ataipata habar yake asubiri aone watanzania watakavyofanya...hataamini macho na masikio yake
 
Chakuchukulia mkopo
 

Attachments

  • Screenshot_20200926-151224~2.png
    Screenshot_20200926-151224~2.png
    178.3 KB · Views: 1
Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.

"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Kweli?
IMG_20201011_160558.jpg
 
Ili alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.
Laana itaanza kwako mmeo na watoto wako
 

Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.


"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
 
Ili alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.
Duh.. waliojipa kazi ya kutetea mtu huyu Wana shughuli pevu
 
Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.

"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Lissu anatufaa sana.
 
Ujue ukizungumza na kichaa na wewe utaitwa kichaa...Bora Magufuli amnyamazie kwa sababu wananchi tunaelewa A to Z..sanduku la kura ndilo jibu sahihi kwa huyu dogo...ataipata habar yake asubiri aone watanzania watakavyofanya...hataamini macho na masikio yake
Watanzania wa wapi unawasemea wewe? Hakuna Mtanzania anayejielewa yupo CCM j
 
Back
Top Bottom