imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kajirusha ufahamu hao ndio watetezi wa CCM aibu tupukapakaziwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajirusha ufahamu hao ndio watetezi wa CCM aibu tupukapakaziwaje
Ujue ukizungumza na kichaa na wewe utaitwa kichaa...Bora Magufuli amnyamazie kwa sababu wananchi tunaelewa A to Z..sanduku la kura ndilo jibu sahihi kwa huyu dogo...ataipata habar yake asubiri aone watanzania watakavyofanya...hataamini macho na masikio yakeHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Kweli?Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Kwa hiyo kapakaziwa tu, hajasema hivyo?Hakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.
Laana itaanza kwako mmeo na watoto wakoIli alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.
Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Duh.. waliojipa kazi ya kutetea mtu huyu Wana shughuli pevuIli alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.
Utakapoacha kabisa kutukana.Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Ukitaka kumkemea shetani lazima umtaje waziwazi [emoji4]Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Kwa miaka mitano mfululizo amekuwa akitajwa Magu mara flaiova ya magu mara ndege za magu na kwa haya wacha tumtaje! Mbona mnabagua vyakumtajia?Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Lissu anatufaa sana.Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Unasema Mkopo wa elfu 30 na unaweka bondi kitanda ,viti na meza kwenye kikundi?Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Waite kwenye mdahaloLisu unapoteza muda Magufuli siyo size yako
Wewe mpumbavu utaacha upuuzi lini? au utaacha ukipigwa mimba na polepoleHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Watanzania wa wapi unawasemea wewe? Hakuna Mtanzania anayejielewa yupo CCM jUjue ukizungumza na kichaa na wewe utaitwa kichaa...Bora Magufuli amnyamazie kwa sababu wananchi tunaelewa A to Z..sanduku la kura ndilo jibu sahihi kwa huyu dogo...ataipata habar yake asubiri aone watanzania watakavyofanya...hataamini macho na masikio yake
Wewe ndiyo pumbavu kwa kazani Magufuli ni Mungu hatajwiHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?