.
.
.
.
.
.
.
.
.
Labda Nitoe Ufafanuzi Kidogo
Kuhusu Kutumia VITAMBULISHO VYA MAGUFULI kupata MIKOPO Mimi Sijui
ila ipo MIKOPO ya Wajasiriamali
Nimewahi Elekezwa kwenda Ofisi za kata kuwa kuna mikopo inatolewa kwa akina Mama na Vijana Wajasiliamali kupitia Bank ya DCB
Nimefika Nika kutana na Afisa Maendeleo wa kata Bahat nzuri Siku hiyo hiyo ndio ilikua Siku ya Marejesho, hivyo walikuepo watu waliokwisha chukua hiyo mikopo pamoja na Afsa Mikopo wa hiyo Bank na ndie alienipa Sifa na taratibu zoote za mikopo
Mpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.Huyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Maswala ya kindungu yanakuhusu nini kama hujashilikishwaMpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂 hii ngomaa ifikee tamati
Hata picha haina wala anwaniMpumbavu ni yule anayedanganya wapumbavu wenzie kuwa kitambulisho kisicho na jina kinaweza kutumika kuombea mkopo benki.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Jibu hoja ya Lissu kuhusu kitambulisho kisichokuwa na Jina Picha wala Sahihi unaweza kwenda kukikopea Benki ?..mwacheni Lissu amkimbize mwizi wakeHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
jibu hoja mkuu acha matusi. ID inatumikaje kukopa? toa ushuhudaHuyu mpumbavu Tundu Lissu ataacha upuuzi lini?
Jiwe inabidi atajwe mara milioni na zaidi ktk kampeni hizi. Ni dikteta mshamba sanaHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Ulitumia kitambulisho cha Magufuli kukopa?Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Hakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.Jibu hoja ya Lissu kuhusu kitambulisho kisichokuwa na Jina Picha wala Sahihi unaweza kwenda kukikopea Benki ?..mwacheni Lissu amkimbize mwizi wake
kapakaziwajeHakuna hoja yoyote hapo.Jamaa hana sera,kazi kumpakazia Magu.
Ili iweje?Jiwe inabidi atajwe mara milioni na zaidi ktk kampeni hizi. Ni dikteta mshamba sana
Unataka akutaje ww,kwani anayeongoza serikali??Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Ccm mpya ya Magufuli na uongo ni sawa na mwili na damu"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Ili alaaniwe kwa mauaji, udhalilishaji, utekaji, kifilisi Wafanyabiashara, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Kijijini kwake, kuteka watu, na mambo maovu mengine mengi.Ili iweje?