Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Ulitaka. Kwa hiyo hukunufaika.Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka. Kwa hiyo hukunufaika.Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Acha kutulaghaiumeamini kweli hakina jina?
Kuna shida ya kuwa muumini...
Ninacho kina jina...
Viva Magu 2020 to 2030
Acha kutulaghai
Vigeugeu sana mara mseme ni vya lazima kwa wamachinga mara mseme ni vya hiariNo ulaghai ni kusema havina jina.
Vina majina....
Ingekuwa hakuna jina sasa si wangepeana wafanyabiashara wote kimoja mkuu?
jamaa yenu mzushi kimtindo
Viva Magu 2020 to 2030
Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
No ulaghai ni kusema havina jina.
Vina majina....
Ingekuwa hakuna jina sasa si wangepeana wafanyabiashara wote kimoja mkuu?
jamaa yenu mzushi kimtindo
Viva Magu 2020 to 2030
ila ni kweli angemtaja hata Zito kabwe kwenye vitambulishoHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Unataka amseme mama yako ndyo alale?Huyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Anawafananisha watz wote kama watu wa chato.Duh kumbe hakina jina? Ila jiwe naye apunguze chai
Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
shetani lazima atajwe mara nyingi uwezavyo ktk kumkemea na matendo yake yoteHuyu jamaa naye jinga tu,asipomtaja Magu hasinzii?
Wateule wake DC wanawalazimisha wenye wafanyakazi madukani, migahawa, bar, guest, nk wawakatie hivyo vitambulisho. Magufuli alielezwa hilo Tabora, hakujibu.Duh kumbe hakina jina? Ila jiwe naye apunguze chai
Mgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
Anadhani watz ni wajinga anajiripokea tuMgombea urais chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lissu leo akiwa Singida amesema Magufuli aache kudanganya sisi siyo washamba kama yeye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki.
"Kitambulisho hakina jina, anwani na unaponunua haina hata risiti halafu anasema unaweza kutumia kukopa, mwambieni sisi siyo washamba kama yeye."
hata kadi za crdb hazina picha, ulishashindwa kutoa pesa kwenye atm? huyu jamaa alishawaona majuha kweliKumbe vile vitambulisho havina jina wala picha?
kumbe kuna kazi kweli kweli ya kuelimishana nadhan ata pole pole hajui kama vile vitambulisho havina picha wala jina
We mwache abishe.si mjuajiKuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Sio kuombea mkopo benki,bali hata kufungulia tu akaunti benki hakina sifa.Kuna mikopo ya vikundi ya Wajasiriamali kwa akina Mama na Vijana kutoka Serikalin
Nimewah kutaka kuwa Mnufaika
Hata kutumika kukutambulisha wakati wa kumwekea mtu dhamana tu hakifaiJibu hoja ya Lissu kuhusu kitambulisho kisichokuwa na Jina Picha wala Sahihi unaweza kwenda kukikopea Benki ?..mwacheni Lissu amkimbize mwizi wake
Kasema kutoka serikalini,huko hata bila kitambulisho unakopeshwa tuUlitumia kitambulisho cha Magufuli kukopa?