mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Hapo ndio atajua bongo daresaalaam,"DUDE'S voice"Wazaramo wana usemi wao "NGOMA YA WATOTO HUWA HAIKESHI IKIFIKA USIKU KATI WOTE USINGIZI".POLE LISSU HIYO NDIYO BONGO, NA BADO HUJAFIKIA KUTOa amri yako ovu ya kuwaingiza barabarani, utaambulia patupu
Acha maneno matupu weka picha tuoneNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
MakendeNipo Arusha
Subirini siku yenu inakuja, cdm ikiingia madarakani wahamiaji haramu wote mnarudishwa kwenu BurundiOfisi zenu mnachoma wenyewe kwa uvivu wa kufikiri
Lissu kasababisha hadi vyombo vya habari vipigwe [emoji419] pinKama T. L hana uungwaji mkono kama unavyodai, ni kwanini SIRIkali haitaki kabisa kuona habari zake zinasikika/kuonekana?!
kama yeye sio chochote tuonesheni basi hayo mapokezi kiduchu tuone!
P o w e r r r r r!Arusha hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee shikamooooo Arusha peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Tayari ni mpumbavu tu huyooBila picha habari yako inakuwa ya kipumbavuuuu
Naona unajitekenya alafu unajifanya kukenuaWazaramo wana usemi wao "NGOMA YA WATOTO HUWA HAIKESHI IKIFIKA USIKU KATI WOTE USINGIZI".POLE LISSU HIYO NDIYO BONGO, NA BADO HUJAFIKIA KUTOa amri yako ovu ya kuwaingiza barabarani, utaambulia patupu
Kama ulivyo wewe kichaaLissu mwendawazimu tu
Bila picha hizi ni blabla tuNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
Aitoe wapi?Acha maneno matupu weka picha tuone
PoweeeeeeerArusha hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee shikamooooo Arusha peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Yupo kwao jimboni kwa Ndugai alafu anajifanya yupo Arusha kwa waelewaAcha maneno matupu weka picha tuone
Sitaki kukaa na ma sniperNipo hapa uko sehemu gani, tujiridhshe?
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
Hakuna watu wasiyo na fikira kama nyinyi uvccmOfisi zenu mnachoma wenyewe kwa uvivu wa kufikiri
Serikali ya CCM imesheni WAHUNI na WAHALIFU wengi, kuanzia JPM hadi wasaidizi wake. Mwaka huu tutashuhudia viroja vingi sana.Ofisi zenu mnachoma wenyewe kwa uvivu wa kufikiri
Mkuu nimesoma comment humu ngoja nikae kimya tuuwatu wasome coment huko istagram kwa post za kumbusho za Lissu ndio utajua watu wameshanza kumchoka