kababu
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,699
- 806
sasa kimandolu hapo imepakana na ng'aronumbe, kijenge juu, moshono. kwangulelo. sekei.
hamna hiyo sehemu uliyoitaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kimandolu hapo imepakana na ng'aronumbe, kijenge juu, moshono. kwangulelo. sekei.
Ngulelo mkuu sawa, mi kada siyo kada wa cdm bhana yaishesasa kimandolu hapo imepakana na ng'aronumbe, kijenge juu, moshono. kwangulelo. sekei.
Hawezi shinda kabisa. Watz siyo wajinga kiasi hicho.Siku anatafuta wadhamini kule kahama ilikuwa ni vituko watu wachache sana walijitokeza nami nilikuwa miongoni kwa huo msafara,na boda boda waliojitokeza ni wale waliojaziwa mafuta Lita mbili ili kuongeza hamasa
Nilisiktika sana kuona huyu mtu eti mabeberu wanamtegemea kuwa atashinda urais,na kama fadhira kwao raslimali zetu zichumwe na wao
Kiufupi huyu mtu anahitaji huruma kubwa sana
Hilo ni zuzu la chakubangaUsibishe ilimradi uonekane unabisha
Kama yule taahira katoboza seuse huyu?Lissu mwendawazimu tu
Tuliza kidonda hicho kisiingie chumvisasa kimandolu hapo imepakana na ng'aronumbe, kijenge juu, moshono. kwangulelo. sekei.
Wala haikusaidii chochote,kuandika uzushi,uzandiki,uongo.watu wamejaa pomoni.na roho imekuuma sana.mchawi tu wewe.katafute kingine.Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
Sasa kama kampeni hazijaanza Rallies za nini anafanya? Eti tusubur kampeni, ko kwenye kampeni atabadilisha KICHWA hiki alichonacho akiache?Ajielekeze kwenye kutatua kero za wananchi, kwani kampeni zimeanza? Subiri kampeni ndiyo uje utoe uharo wako hapa!
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
mkuu achana na lissu kwanza nafasi aliofikia lissu wenada mpaka uwe mzee utokuja kuipata wakati unaona moja wengine wanaona mbili ,hivyo sisi kama sisi hatuwezi jua mikakati ya chama usika maana ipo mingi inayo onekana na isio onekana tulia kampeni zianze kwanza , kumbuka mpaka sasa lissu anaongozwa na washauri so wenda ukaona mapokezi ni madogo but pia yakawa yamezuiliwa kimkakati kuhusu usalama zaidiNikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa jamuhuri ya muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu.ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana .
Kadhalika mwanza,na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli , hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu.
,leo Arusha jibu umelipata ,viti havina watu ,kazi kwako
Muuaji lazima akemewe bila kuchoka😒😒Lissu anakesha kulitaja jina la Magufuli mpaka anatia huruma.
It is no longer the same brother!Jf
"the home of great thinkers".
Lissu akili mingi sn ndio maana maccm yamepagawa..... Mzee wa Phd feki hawezi hata kuongea sentensi moja ya kiingereza kazi yake kupiga makelele, kufokafoka na kuropoka bila mpangilioLissu anaulemavu wa akili
Hawa watu ni wachache sana kutoka kitovu cha upinzani
Wewe ndio utulize unadhan mm ni nyumbu km wewe nn? mm siond na upepo unakokwenda. niko stable na nina strong baseTuliza kidonda hicho kisiingie chumvi
Hivi Lissu alifika lini Mwanza, nimesahau nikumbushe!Nipo Arusha