Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kama mataga kama wewe mnavyo litaja jina la rais ajaye mh Lissu kama majuhaLissu anakesha kulitaja jina la Magufuli mpaka anatia huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mataga kama wewe mnavyo litaja jina la rais ajaye mh Lissu kama majuhaLissu anakesha kulitaja jina la Magufuli mpaka anatia huruma.
Tatizo lako hutumii akili kwenye jambo linalo hitaji kutumia akili.Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Hio ni ishara mbaya sana kwa lema...... Arusha kuna mradi hatawa maji mkubwa sana unajenga ... Barabara za lami nyingi zimejengwa... Wafanyabiashara wadogo walokuwa wanamsampoti sana lema leo wanafanya biashara bila buguza...Hawa watu ni wachache sana kutoka kitovu cha upinzani
Soma hiyooooNipo Arusha
Kama unaona huwezi kuongozwa na mh Lissu basi rudi kwenu BurundiHuoni kama yeye amekwisha anza kampeni?
Hao watu ni wachache sanaTatizo lako hutumii akili kwenye jambo linalo hitaji kutumia akili.
Hapo ni Arusha sijui utasema nini tena lumumba wahediView attachment 1536996
Haikusaidii kituNipo hapa uko sehemu gani, tujiridhshe?
mkuu hili ndo tatizo kubwa la wana ccm ,kusifia ,na kulaghai uongonzi wa juu thats mnampa wakati mgum mgomea wenu japo alijitahidi kukibeba chama , mnasifia mpaka mnapita maelezo but mh maghu wasikudanganye uchaguzi huu ni mgum na ni kwa sababau wanaokusifia sio kwamba lipo lolote wamekifanyia chama ya msingi wao walisha lala wanategemea kwamba ccm ni chama dola so ushindi kama kawa but hawajui hata ukishindwa bado kama taifa tutendelea kukulinda ,kukutunza na kuhakikisha upo salama kwa mjibu wa katiba yetu iliopo , na niseme hawa ndo adui no 1 kwako, kutoka moyoni binafsi sitokupigia kura mwaka huu,na hii sio kwamba hakuna mambo mazuri ambayo umefanya ,yapo mengi tu kama w atangulizi wako walivyo fanya but hawa wapambe njaa wako wanachefua sana , chama hawajengi but wmebaki kupiga kelele ili mladi mkono waingia kinywani.Wanachama na wakereketwa wa Chama cha Chadema, najua mnajua kuwa hamuwezi kushinda, na Jambo lingine ambalo mnajua Ila hamlitaki kuliskia, ni kwamba hata Mh Lisu akija kwetu na Mimi nitakwenda kwenda kumpokea hasa kushangaa jinsi Mungu alivyomshindia,ingawa ukweli ni kwamba Kura yangu haipati
Kwa tarifa yenu ni kwamba miongoni pia mwa wanao hudhuria mikutano yake ni kidogo tu watakao mpa Kura, wengi Wao wanaokwenda kumpokea ni hao wanaokwenda kushangaa muujiza wa Mungu Kwa ndugu na damu yetu mh Lisu,
Tofauti yake ni kwamba, ninyi Chadema, hamtakwenda kabisa kwenye mikutano ya Mh Magufuli, mbali na Hilo, mikutano yake itakuwa inatapika watu kuliko miaka yote na makusanyiko yote ya Magufuli muwe na uhakika ndio watakaompa kura tofauti na makusanyiko ya Lisu ambapo wengi Wao watakwenda kushangaa matendo makuu ya Mungu pekee kama nitakavyokuwa nafanya mimi na Kura wasimpe
Umepata msosi wa mchana mkuu?Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.
Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .
Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.
Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.
Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .
Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Kapicha kangependeza la sivyo huu uzi ni udaku tuNipo Arusha
Hii ndio doble standard tusiyoitaka hivi umeona mtoa mada akiweka picha na video?Ndo maana mpaka sasa hawajweka picha wala video.
Ushauri mzuri sana mkuumkuu hili ndo tatizo kubwa la wana ccm ,kusifia ,na kulaghai uongonzi wa juu thats mnampa wakati mgum mgomea wenu japo alijitahidi kukibeba chama , mnasifia mpaka mnapita maelezo but mh maghu wasikudanganye uchaguzi huu ni mgum na ni kwa sababau wanaokusifia sio kwamba lipo lolote wamekifanyia chama ya msingi wao walisha lala wanategemea kwamba ccm ni chama dola so ushindi kama kawa but hawajui hata ukishindwa bado kama taifa tutendelea kukulinda ,kukutunza na kuhakikisha upo salama kwa mjibu wa katiba yetu iliopo , na niseme hawa ndo adui no 1 kwako, kutoka moyoni binafsi sitokupigia kura mwaka huu,na hii sio kwamba hakuna mambo mazuri ambayo umefanya ,yapo mengi tu kama w atangulizi wako walivyo fanya but hawa wapambe njaa wako wanachefua sana , chama hawajengi but wmebaki kupiga kelele ili mladi mkono waingia kinywani.
NILIWAI SEMA
WENDA MAGHU rais mzuri but chama alicho ni tatizo na niliwai pendekeza MAGHU angombee pitia chama pinzanzani may be watu walichukulia mzaa , but ieleweke wanachama wa ccm hawajengi chama hata kidogo ,wapo wamerelax tofauti na chadema watu wamejitoa wenyewe katika ujenzi wa chama kwa nguvu zao ,kwa pesa zao n.k .
mapendekezo
ccm inabidi ishindwe ili wanachama wao wapate fikra mpya ya kukijenga chama upya bila kutomuachia majukum mazito mwenyekiti wao maana imekua tabia ya karne na karne
Aupate wapi wakati chakubanga yupo nzuguni?Umepata msosi wa mchana mkuu?
Huyo hana lolote, tazama watu wanavyo mpokea lissu hapa ArushaKapicha kangependeza la sivyo huu uzi ni udaku tu
Watu wanaenda sababu kuna show za bure za wasanii (Fiestaccm)Wanachama na wakereketwa wa Chama cha Chadema, najua mnajua kuwa hamuwezi kushinda, na Jambo lingine ambalo mnajua Ila hamlitaki kuliskia, ni kwamba hata Mh Lisu akija kwetu na Mimi nitakwenda kwenda kumpokea hasa kushangaa jinsi Mungu alivyomshindia,ingawa ukweli ni kwamba Kura yangu haipati
Kwa tarifa yenu ni kwamba miongoni pia mwa wanao hudhuria mikutano yake ni kidogo tu watakao mpa Kura, wengi Wao wanaokwenda kumpokea ni hao wanaokwenda kushangaa muujiza wa Mungu Kwa ndugu na damu yetu mh Lisu,
Tofauti yake ni kwamba, ninyi Chadema, hamtakwenda kabisa kwenye mikutano ya Mh Magufuli, mbali na Hilo, mikutano yake itakuwa inatapika watu kuliko miaka yote na makusanyiko yote ya Magufuli muwe na uhakika ndio watakaompa kura tofauti na makusanyiko ya Lisu ambapo wengi Wao watakwenda kushangaa matendo makuu ya Mungu pekee kama nitakavyokuwa nafanya mimi na Kura wasimpe
umekwisha anza kampeni kabla ya muda,
Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!