Lissu, Maria na Wengine Ulinzi Uimarishwe

Lissu, Maria na Wengine Ulinzi Uimarishwe

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Baada ya kupata wasaa wa kutosha kuzisikiliza hoja zote kutoka Maria Space aliyojumuika pia Mh. CJ:

Jaji Mkuu alijumuika Maria Space Dec.20

Yafuatao ni maoni yangu:

1. Kwa weledi, ufahamu na kujitoa kwake, Mh. Lissu ni mtu muhimu sana kwa nchi hii.
2. Maria Sarungi kwa uwezeshaji wake ni kiungo muhimu sana kwa Tanzania mpya ambayo wengi wetu tungependa kuiishi.
3. Ni wazi kuwa watu kama hawa kama aitavyo beberu ni "High Valued Targets" (HTV) kwa watesi wetu.

Ikumbukwe Mh. Lissu alikwisha nusurika jaribio dhidi ya maisha yake. Kudhani kuwa yalikwisha pita itakuwa ni kujidanganya "big time."

Kuna jirani zetu wenye ka kufanana na sisi zao ni kuwawinda wapinzani wao kokote waliko na hasa kwenye sikukuu kama hizi za mwishoni mwa miaka.

Chonde chonde wakubwa.

Siyo siri, tukipigwa hawa tutakuwa na hali mbaya.
 
Baada ya kupata wasaa wa kutosha kuzisikiliza hoja zote kutoka Maria Space aliyojumuika pia Mh. CJ:

Jaji Mkuu alijumuika Maria Space Dec.20

Yafuatao ni maoni yangu:

1. Kwa weledi, ufahamu na kujitoa kwake, Mh. Lissu ni mtu muhimu sana kwa nchi hii.
2. Maria Sarungi kwa uwezeshaji wake ni kiungo muhimu sana kwa Tanzania mpya ambayo wengi wetu tungependa kuiishi.
3. Ni wazi kuwa watu kama hawa kama aitavyo beberu ni "High Valued Targets" (HTV) kwa watesi wetu.

Ikumbukwe Mh. Lissu alikwisha nusurika jaribio dhidi ya maisha yake. Kudhani kuwa yalikwisha pita itakuwa ni kujidanganya "big time."

Kuna jirani zetu wenye ka kufanana na sisi zao ni kuwawinda wapinzani wao kokote waliko na hasa kwenye sikukuu kama hizi za mwishoni mwa miaka.

Chonde chonde wakubwa.

Siyo siri, tukipigwa hawa tutakuwa na hali mbaya.
Nani anashida ma wagonjwa wale

USSR
 
Hakuna wa kuwagusa hao, Big Boss wao huyo hapo chini, wote evil.

1640273327681.jpeg
 
Baada ya kupata wasaa wa kutosha kuzisikiliza hoja zote kutoka Maria Space aliyojumuika pia Mh. CJ:

Jaji Mkuu alijumuika Maria Space Dec.20

Yafuatao ni maoni yangu:

1. Kwa weledi, ufahamu na kujitoa kwake, Mh. Lissu ni mtu muhimu sana kwa nchi hii.
2. Maria Sarungi kwa uwezeshaji wake ni kiungo muhimu sana kwa Tanzania mpya ambayo wengi wetu tungependa kuiishi.
3. Ni wazi kuwa watu kama hawa kama aitavyo beberu ni "High Valued Targets" (HTV) kwa watesi wetu.

Ikumbukwe Mh. Lissu alikwisha nusurika jaribio dhidi ya maisha yake. Kudhani kuwa yalikwisha pita itakuwa ni kujidanganya "big time."

Kuna jirani zetu wenye ka kufanana na sisi zao ni kuwawinda wapinzani wao kokote waliko na hasa kwenye sikukuu kama hizi za mwishoni mwa miaka.

Chonde chonde wakubwa.

Siyo siri, tukipigwa hawa tutakuwa na hali mbaya.
Mungu wetu wa Upendo awalinde na kuwahifadhi
 
Kama inasemekana system ndio ina wa target na sio viongozi, muhimu ulinzi wao uimarishwe japo sidhani kama watapenda kuichafua image ya nchi kwa kuwafanyia anything bad.
 
Anayetaka kukudhuru atakudhuru tuu hata uwe na ulinzi mkubwa. Cha kufanya ni kumdhuru anayetaka kukudhuru kabla ya yeye hajakudhuru. Ndiyo maana Wayahudi kwenye kitabu chao cha Talmud huwa wanasema "if someone comes to kill you, rise up and kill him first" ukisubiri au useme ujiongezee ulinzi utachelewa.
 
Kama inasemekana system ndio ina wa target na sio viongozi, muhimu ulinzi wao uimarishwe japo sidhani kama watapenda kuichafua image ya nchi kwa kuwafanyia anything bad.

Kuna jirani mshirika wao kindaki ndaki huwa hajali mahusiano yake na nchi nyingine kwenye operation nyakua nyakua zake.

Kwa kitimtim anachowapelekesha "no wonder" Juma na Mustafa walikuwa "in attendance."

Huwa hawachelewi kusema "the target is worth the risk."

Kumbuka Kashoogi alikatwa katwa kwa msumeno kwenye ofisi ya ubalozi ndani ya mji mkuu wa nchi nyingine.

Hawa? Siyo watu wazuri.
 
Anayetaka kukudhuru atakudhuru tuu hata uwe na ulinzi mkubwa. Cha kufanya ni kumdhuru anayetaka kukudhuru kabla ya yeye hajakudhuru. Ndiyo maana Wayahudi kwenye kitabu chao cha Talmud huwa wanasema "if someone comes to kill you, rise up and kill him first" ukisubiri au useme ujiongezee ulinzi utachelewa.

Waungwana hatufanyi pre-emptive strikes.

Kuashiria hilo ni kutaka kutengenezeana kesi za ugaidi.

Wakati magaidi yenyewe ni haya yaliowashambulia kina Lissu, yakapotea kusikojulikana na kina Lijenje, Ben, Malema, Urio na wenzao.

Yakasokomeza wengine kwenye viroba.
 
Kuna jirani mshirika wao kindaki ndaki huwa hajali mahusiano yake na nchi nyingine kwenye operation nyakua nyakua zake.

Kwa kitimtim anachowapelekesha "no wonder" Juma na Mustafa walikuwa "in attendance."

Huwa hawachelewi kusema "the target is worth the risk."

Kumbuka Kashoogi alikatwa katwa kwa msumeno kwenye ofisi ya ubalozi ndani ya mji mkuu wa nchi nyingine.

Hawa? Siyo watu wazuri.
Umewaza kijasusi ispokuwa wa kwetu hawana huo uwezo. Ingawa pesa haishindwi kitu
 
Umewaza kijasusi ispokuwa wa kwetu hawana huo uwezo. Ingawa pesa haishindwi kitu

Mkuu waswahili wanasema "mdharau mwiba ......"

Kwa madini anayotema yule bwana ni vizuri kujizatiti.

Malokelee? Si watu wazuri.
 
Hakuna wa kuwagusa hao, Big Boss wao huyo hapo chini, wote evil.

View attachment 2054838

Itapendeza kama hawawezi kuwagusa. Ila uzoefu unaonyesha ma master wa evil wamefuata wapinzani wao Dodoma, SA, Istanbul na hata London.

Orodha haina mwisho. Tunazo sababu za kustuka tukiuona unyasi. Tumeshaumwa na nyoka.
 
Back
Top Bottom