Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawanyoosha tarehe 28/10/2020.Unastahili kutukanwa
Hajasema mawakala wake. Soma uzi upya. Huu unawahusu mawakala ya vyama vyote sio chama chake tuKwanini mnawaza mawakala wenu watachelewa kufika kituoni?? Kwa nini wasiende wakalala huko huko?
Urudiwe na nani? Sisi tunamaliza tarehe 28/10/2020Hapa hakuna uchaguzi. Nmeshaona dalili kwa mara ya kwanza uchaguzi mkuu kuridiwa
Sisi CCM mawakala wetu hawawezi kuchelewa.Hajasema mawakala wake. Soma uzi upya. Huu unawahusu mawakala ya vyama vyote sio chama chake tu
Conyo.wajitoe ili mfanye kama uchaguzi Wa serikali za mitaa.Mungu haachiwi kazi mwaka huu ashamaliza kazi yake.Mnalalamika sana Kila inachofanya NEC si Mjitoe
Kama huoni mantiki ya akisemacho unastahili kuitwa mpumbafMalalamiko FC iwe isiwe lazima ashindwe huyo msaliti.
Dunia ya kutishana ishapita hiyo, nadhani hao wababe wangetufaa sana wangeenda mpaka wa Msumbiji kutuweke usalama hukoUzuri ni kuwa huwezi fanya chochote ukileta cha kuleta mwenyewe unajua kitakachofuata watu wataimba nyimbo za mapambio!
Wataendaje kulala wakati hawajui hata kituo walichopangiwa?Kwanini mnawaza mawakala wenu watachelewa kufika kituoni?? Kwa nini wasiende wakalala huko huko?