Uchaguzi 2020 Lissu: Mawakala wasiporuhusiwa, kura zisipigwe

Uchaguzi 2020 Lissu: Mawakala wasiporuhusiwa, kura zisipigwe

Wiki moja kabla ya uchaguzi kila wakala atakuwa anajua ni wapi amepangiwa,ni wajibu wao kwenda kuhakiki mahali hapo ulipopangiwa kama ni sahihi,wakileta uzembe ni juu yao,
Kwanini mgombea wa chadema ana kauli tata za kuashiria sintofahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Amehujumiwa na tume mara nyingi kukiko wagombea wengine
 
Nimesikia kwamba Chama ndo kinatakiwa kuwapangia Vituo Mawakala na kuwasilisha majina ya mawakala na Vituo vyao kwa Msimamizi ambaye atawaapisha tarehe 21.10.2020, wakipeleka majina bila kuwapangia Vituo hawataapishwa. Na baada ya hapo barua zenye picha zao zitapelekwa kwa wasimamizi wa Vituo ambao watawapokea...

Ndio kitakachotokea. Wakala wawili na mmoja anayetambuliwa na chama na aliye na barua anaambiwa sio kituo chake hicho huku yule mamluki akiruhusiwa kufanya uwakala. Kuna wasiwasi sana na hili.

Wakati wakala wa CCM atakuwa anatoka eneo husika, wale wa vyama vya upinzani watakuwa hawatoki maeneo hayo hivo kushindwa hata kuwatambua wanachama wao na kusaidia katika kuhakikisha wanapiga kura!!
 
Huyu anajua ashashindwa kwa aibu kubwa, anachofanya ni kutafuta jinsi ya kuvuruga uchaguzi basi na hatafanikiwa kamwe.
 
Wiki moja kabla ya uchaguzi kila wakala atakuwa anajua ni wapi amepangiwa,ni wajibu wao kwenda kuhakiki mahali hapo ulipopangiwa kama ni sahihi,wakileta uzembe ni juu yao,
Kwanini mgombea wa chadema ana kauli tata za kuashiria sintofahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Huna kiwango cha kufikiri beyond utaratibu. Huna uwezo wa kujua mantiki ya malalamiko haya!!

NEC itapanga mawakala ya CCM wa eneo husika ili kuwezesha figisu na mawakala wageni kutoka vyama vingine wasioweza kutambua hata wanachama wao.

Wakala wa CCM yuko pale kuhakikisha wana CCM anaowafahamu wanapiga kura (wapiga kura ambao ni wanachama wa CCM walikwisha toa taarifa zao kwa CCM huko mitaani - vitambulisho vya kura vilishaandikwa) Mawakala ya vyama vya upinzani wasiowafahamu hata wanachama wao hawatakuwa na uwezo wa kuhakikisha wanachama wao wanapiga kura!!

Mawakala ya CCM watakuwa ni wa kutoka eneo husika!! Hiyo ni advantage hata katika kupiga kura hasa litakapokuja swala la mtu kupiga kura mara ya pili katika vituo viwili vilivo karibu.
 
Huna kiwango cha kufikiri beyond utaratibu. Huna uwezo wa kujua mantiki ya malalamiko haya!!

NEC itapanga mawakala ya CCM wa eneo husika ili kuwezesha figisu na mawakala wageni kutoka vyama vingine wasioweza kutambua hata wanachama wao. Wakala wa CCM yuko pale kuhakikisha wana CCM anaowafahamu wanapiga kura (wapiga kura ambao ni wanachama wa CCM walikwisha toa taarifa zao kwa CCM huko mitaani - vitambulisho vya kura vilishaandikwa) Mawakala ya vyama vya upinzani wasiowafahamu hata wanachama wao hawatakuwa na uwezo wa kuhakikisha wanachama wao wanapiga kura!!

Mawakala ya CCM watakuwa ni wa kutoka eneo husika!! Hiyo ni advantage hata katika kupiga kura hasa litakapokuja swala la mtu kupiga kura mara ya pili katika vituo viwili vilivo karibu.
Kwahiyo hapo ndio una kiwango cha kufikiri beyond utaratibu?[emoji57][emoji57]. F**k off.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mgombea mmoja anasema ataingiza watu barabarani. Ndugu zangu, hizo ni porojo tu. Watanzania wa sasa si wajinga kiasi hicho.
Hakuna Mtanzania atakayeacha shughuli zake na kwenda barabarani kwa ajili ya mtu mmoja.
 
Kuna mgombea mmoja anasema ataingiza watu barabarani. Ndugu zangu, hizo ni porojo tu. Watanzania wa sasa si wajinga kiasi hicho.
Hakuna Mtanzania atakayeacha shughuli zake na kwenda barabarani kwa ajili ya mtu mmoja.
Lissu anakurupukaga, ofisi za IMMMA zilipolipuliwa alikuwa Raisi wa TLS akasema mawakili na wanasheria wote TZ wasiende kazini wagome,ilikuwa siku ya jumatano, alijikuta yeye mwenyewe tu walimpuuzia wote. Nasubiri tarehe 30 mwezi huu akiambulia 8% tu ya kura tuone mwisho wa mikwara yake ya kuingiza watu barabarani.
 
Back
Top Bottom