Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Uchaguzi 2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Achana naye ni kipofu ana risasi
 
Lisu anasaka kura kwenye 20 percent ya wapiga wa mjini

Wapambe wake waotaji hewa wanasema atapata asilimia 80 ya kura!!!

Kimahesabu ukichukua asilimia 80 ya kura asilimia 20 za mijini jibu ni kiwa atapata asilimia 16 tu ya kura zote zotakazopigwa nchi nzima
. Hata hiyo 16 hapati akipata ashukuru Sana cjafurahishwa na maneno yake ya uarabuni huku hawajui utu wanakugeuka sekunde
 
Mzee meko atakosa kura vijijini kwa sababu aliahidi atapeleka million 50 kila kijiji na wanazisubiri kawatapeli
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Halafu anarudi mara mbili mbili Kanda ya Ziwa maana anajua huku hapati kitu. Hata atubembeleze vipi, sisi wa Kanda ya Ziwa kura tunampa Rais Magufuli!
 
Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.

Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk

Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.

So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.

Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Kampeni hazijaisha ww, acha mboyoyo mingi [emoji3166]
 
Mimi naishi kijijini na sihitaji Lissu aje huku kijijini kama kigezo cha kumpa kura yangu.Kura yangu ataipata vizuri sana,wala sihitaji kuiona sura yake huku
 
Tundu Lissu tayari kapita vijini ambavyo hakuja rais amewahi kufika tangu nchi ipate uhuru na huko kote habari ni Tundu Lissu tu.....
 
Tundu Lissu tayari kapita vijini ambavyo hakuja rais amewahi kufika tangu nchi ipate uhuru na huko kote habari ni Tundu Lissu tu....

Chadema msingi imesababishwa chama kiimarike na kipendwe hadi vijijini...
 
Lisu anasaka kura kwenye 20 percent ya wapiga wa mjini

Wapambe wake waotaji hewa wanasema atapata asilimia 80 ya kura!!!

Kimahesabu ukichukua asilimia 80 ya kura asilimia 20 za mijini jibu ni kiwa atapata asilimia 16 tu ya kura zote zotakazopigwa nchi nzima
Umebaki mwenyewe na li ccm lako.
Mateso mliyowapa watz kwa kanuni zenu za kuongoza za miaka ya 60 kwenye ulimwengu wa Sasa.Njaa Ni kampeni tosha vijijini maana kila wakituomba pesa tunawambia kwani uoni makufuli
 
Tundu Lissu tayari kapita vijini ambavyo hakuja rais amewahi kufika tangu nchi ipate uhuru na huko kote habari ni Tundu Lissu tu.....

Chadema msingi imesababishwa chama kiimarike na kipendwe hadi vijijini...
Kapita na gari kwenye barabara nzuri alizojennga Magufuli hajaingia vijijii kwenye barabara za vumbi

Ni lami na yeye ,yeye na lami
 
Back
Top Bottom