Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Bado siku chacheSubiri tarehe 28 Utaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado siku chacheSubiri tarehe 28 Utaona
pumbavu kabisa na uzi wako wa kizwazwa..ivi vijijini na mijini takwimu inasema wapi pana wakazi wengi?Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Duuh!CCM tumeweza vyote na tuna matawi ya CCM vijiji vyote hata asipikanyaga Raisi tuna vi cover vyote hapo hapo.kupitia viongozi wa chama wa matawi
Chadema matawi wanayo mijini tu tens machache mengi yalishafungwa Sikh nyingi ushahidi jiji la Dar es salaam vitawi koko vilivyofunguliwa 2015 vingi vilishafungwa
CCM matawi hufungukiwa kila kona hakuna mtaa wala kijiji ambacho tawi LA CCM halipo Tanzania
Wajumbe wa nyumba kumi wa CCM wako nchi nzima na wanashiriki kampeni nchi nzima kwenye nyumba zao kumi
Coverage yetu CCM ya kampeni ni mitaa na vijiji vyote Tanzania na si ya kupita tu kamkutano na kuondoka tupo hapo hapo na wananchi kupitia party branch network zetu na kupitia wajumbe wa nyumba kumi ambao wanaishi na wapiga kura na wako pamoja kwenye shida na raha za kila siku na wanafahamiana kwa majina na wanapoishi
Tarehe 28 kazi moja piga chini mbelgiji Arudi kwao ubelgiji akichechemea
Kwani yeye ana maslahi yeyote na Watu,wanyonge ambao w5tLissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
Sensa nenda angalia takwimu za sensa za taifa ya watu national bureau of statistics they charge money to get any statistics you want kawalipe wakupe official statisticspumbavu kabisa na uzi wako wa kizwazwa..ivi vijijini na mijini takwimu inasema wapi pana wakazi wengi?
CCM 80%Lissu mgombea urais wa mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio vijijini.
Lisu ni wakili kakulia mjini ndio maana siasa zake za kimjini mjini zaidi, kwake inayo matter kwake ni asilimia 20 ya wapiga kura waishio mijini. Kawekeza sana kwenye miji. Twaweza sema ni mgombea anayetafuta kura kwa watoto wa mjini tu ingawa wengine kura zao hataki kama za wasanii nk
Hiyo asilimia 20 ndio anatembea nayo kwa mbwe mbwe na kujiaminisha ushindi tayari !!! ha haha mbavu zangu wacha nicheke.
So far anafuta ushindi kwenye asilimia 20 ya wapiga kura that is nonsense .Haihitaji political science analysist kujua tayari keshashindwa uchaguzi sababu hiyo asilimia 20 vyama vyote vina watu kwenye hiyo miji na CCM ikiwemo na ina lion's share kwenye hiyo miji ambayo after all hata hivyo Lisu hajaifikia yote kaenda michache tu.
Kwa hii simple analysis tu ni kuwa hata kura zingepigwa sasa hivi Lisu uchaguzi angeshindwa vibaya mno.
wewe si ulishawalipa na wakakupa either hard or softcopy? basi attach hapa nikomentSensa nenda angalia takwimu za sensa za taifa ya watu national bureau of statistics they charge money to get any statistics you want kawalipe wakupe official statistics