Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura
Anaweza kuwa anachelewa kulala. mimi pia kuna baadhi ya siku huwa naamka saa nne asubuhi, ila nililala saa saba usiku au saa nane. muda huo wote nafanya mambo ya maana usifikiri nimekaa kuangalia tv kama wengine.
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura
Msikilize kwa makini ili uelewe. Acha "propaganda uzushi" bwashee zinazoweza kukanushwa Kwa sekunde moja tu.. Mnafeli wapi nyie chawa wa Samia na CCM???
 
Sasa wewe unadhani ma Rais wanaishi na ratibq kama yako Mkuu, ni wachache walikuwa wakiamka asubuhi sana mfano Saddam Hussein
 
Anasema ndio utaratibu wake, sio sababu ya ugonjwa
Ingekuwa wewe hata moja ya ugoko tu,huenda ndio ingekuwa tamati ya maisha,au ungekuwa kitandani 24*7.Vipi ukajilinganisha na aliyeweza kuponea nyingi zote zile na bado katika masaa 12 ya kazi anapoteza masaa 4 tuu.Hapoo huoni ukuu wa Mungu na lile funzo kubwa Mungu sio Athumani 🤔
 
Ingekuwa wewe hata moja ya ugoko tu,huenda ndio ingekuwa tamati ya maisha,au ungekuwa kitandani 24*7.Vipi ukajilinganisha na aliyeweza kuponea nyingi zote zile na bado katika masaa 12 ya kazi anapoteza masaa 4 tuu.Hapoo huoni ukuu wa Mungu na lile funzo kubwa Mungu sio Athumani 🤔
Lissu ana mtaalamu wake wa dawa za kuzuia madhara ya risasi, Yuko hapo Geita
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura
Rais anaenda kwa ratiba imeshaandaliwa ....huh Uzi hauna maana ....upuuzi
 
Rais anaenda kwa ratiba imeshaandaliwa ....huh Uzi hauna maana ....upuuzi
Ndio utajua hujui, vijijini tunaenda shamba saa 11 asubuhi halafu tumpigie kura mtu anayeamka saa saba mchana
 
Lissu ana mtaalamu wake wa dawa za kuzuia madhara ya risasi, Yuko hapo Geita
Hatuamini katika huo upuuzi,haamini katika huo upuuzi,huo unafanywa tu na wanachukua chako mapema 🤔
 
Ndio utajua hujui, vijijini tunaenda shamba saa 11 asubuhi halafu tumpigie kura mtu anayeamka saa saba mchana
Huo ndio uchawa unaokuja nao leo,tupe na uchawa wa kesho kabisa, 🤔
 
Nimeangalia video, acha hivi vi audio ulivyoedit
Ok. Let's assume kuwa, mimi nime - edit hiyo audio kitu ambacho siyo kweli..

Sasa hebu na wewe weka hiyo video ili uthibitishe hoja yako..

Ukishindwa, wewe utabaki kuwa mtu wa propaganda uzushi zisizoenda shule kabisa..
 
Halafu anaamka watu wamehesabu kura, anaanza kulia nimeibiwa kura
Ushindi wa mwana chukua chako mapema si wa magoli ya mkono katika mpira wa miguu,sasa hapo mmekariri kubwa ni kawaida yenu.Ila bado hamjajua kama sio kila siku ni juma mosi.🤔
 
Kwa hiyo kumbe ili wewe ukafanye kazi ni hadi uhimizwe au kushurutishwa?

Je, kama ni hadi uhimizwe, unataka uhimizwe kwa faida ya nani?

Haya sawa, tuseme Lissu awe anaamka mapema so what next?
Unataka aamke akakulimie shamba ule na familia yako? Acha uvivu na wivu.

Pea-brain!!
 
Back
Top Bottom