Lissu: Msigwa alienda kumsubiria Mwenyekiti Mahakama ya Kisutu alipoachiwa huru lakini hakumkuta, akashangaa kumuona kwenye TV yupo Ikulu

wengi tulishasema siku nyingi sana kwamba adui wa mabadiliko katika hii nchi ni mbowe, hana hata aibu.
 
Mbowe alikuwa anawakilisha chama hata kule gerezani sio yeye kama mtu binafsi.Hivyo alikuwa na wajibu kuitikia mwaliko wa Rais akiwa na viongozi wachache wa cdm.Mbona mahakamani walikuwa pamoja naye?Kama itifaki haikuruhusu basi Lisu ana mantiki ya kuwa na mashaka na mwaliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…