Uchaguzi 2020 Lissu muulize mpinzani wako, ‘Jina lako ni nani?’

Uchaguzi 2020 Lissu muulize mpinzani wako, ‘Jina lako ni nani?’

Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?

Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!

Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Hizo ndio hadithi zenu,Ila amini kwamba kuwe na Tume Huru hakika Magufuli kwa Lissu ni mwepesi zaidi ya tishu.
 
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?
Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!

Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Mkuu nadhani kuna kitu umeamua tu kujifanya hukijui, lakini ukweli unaujua. Mrema alishinda, Seif alishinda Z'bar na hata EL mwaka 2015 alishinda. Kwa uchaguzi wa TZ na mfumo wa tume ya uchaguzi ulivyo, hata mimi sitegemei Lissu atangazwe mshindi hata akishinda. Anayetangaza mshindi wa uraisi ni tume, na akishatangaza hakuna sehemu yeyote unayoweza kwenda kupinga ushindi wake.

Hiyo ndiyo kasoro kubwa tuliyonayo kwenye mfumo wetu wa uchaguzi ngazi ya rais,kwamba matokeo ya urais yakishatangazwa na tume hayapingwi mahakamani. Nafurahi tu kwamba Lissu ameleta changamoto kwa JPM na amsha amsha, raia walikuwa kwa miaka 5 wanamsikiliza mtu mmoja tu, na akajiona kama kamaliza upinzani kumbe bado sana!
 
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?

Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!

Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Bila bao la mkono na hila ccm walishashindwa tangu 1995 wakati wa Mrema.
 
Si kweli.
Kama Lissu hawezi shinda Uchaguzi kwanini tunaenda kwenye Uchaguzi?
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?

Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!

Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
 
Nipo huku jimbo la Singida mashariki. Lisu hakuna kitu huku, lissu huku ni kama dagaa tu.

Angalia video hii halafu angalia mwamko wa wananchi wanapoambiwa ‘CCM oyeee’ halafu niambie huyo mtu anakubalika kweli huko Singida.

[SUB][/SUB]
 
CCM tunanadi sera Hiyo Lisu Hataki ndani ya sera za CCM atajwe kama nani ninyi chadema msio na sera ndio mnamtaja sana Magufuli utafikiri Ndie sera yenu na ndie mliyemwandika kwenye sera yenu sisi Lisu hayumo kwenye sera zetu ndio maana hatumtaji
 
Leo Magufuli anafanya mkutano mjini shinyanga,cha ajabu nyumba za kulala wageni zimejaa zote,kama umewafuata wapiga kura kwenye eneo lao,hawa wageni wanaojaza nyumba za kulala wageni,wanatoka wapi? kama hujawasomva kwenye maloli kutoka kijijini ni nini?
 
Ulichokiandika hakina uhalisia wowote, nipo Singida mashariki pia
Nadhani itakuwa mashariki ulipo ww na mimi ni tofauti. Huyu mgombea kati ya majimbo yatakayomshangaza kwa kumpa kura robo moja wapo ni hili. Tangu nimefika hapa wanakijiji wanalalama tuu kwamba hakuna alichokifanya
 
Mzee wa intaprinyua akitaja jina la Lissu au akikubali kukutana kwenye mdahalo na Lissu nitapiga punyeto posta kwenye mnara wa askari posta
 
Unakosea Sana kijana wangu, nadhani hukuwahi na hujawahi kufahamu, Lowasa alishinda Ila kutokana na kutokujua no kwa nini umebaki kuandika vitu Kama hivi...
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli..

Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
 
Unakariri maisha hata enzi za ukoloni walikuepo kina Mangi sina Kinjekitilewa vita vya majimaji ,chief mkwawa wakipambania Uhuru wa Tanganyika wakashindwa.Alipokuja Nyerere wakajisemea kama tuliwashinda kina mkwawa je sembuse nyerere kikawakuta
Ina maana hujui kuwa Nyerere alikuta chakula kikiwa tayari mezani?
 
Usiganganyike ndugu. Watu tulazimishwa na waajiri kwenda kwenye mikutano wa CCM ya kampeini. Hujasoma barua ya mkuu wa chuo hapa Dom akisema kuwa wafanyakazi wasiohudhuria watachukuliwa hatua za kinidhamu?

Barua hiyo ilikuwa hapa JF. Usiseme wingi wa watu katika mikutani ya CCM ni kukubalika kwa mgombea wa CCM. Watoto pia wanataka kumwona Rais ambaye wamekuwa wakimsikia kwenye radio na TV. Ni kawaida sana hiyo.
Angalia video hii niambie huyo mtu anakubalika kweli huko Singida.

[SUB][/SUB]
 
Mara kadhaa nimelinganisha mtanange wa uchaguzi wa mwaka huu na pambano la ngumi kati ya Muhammad Ali na George Foreman.

Leo hii nitagusia jambo ambalo nadhani wengi mtakuwa mmeligundua. Nalo ni hii tabia ya mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli kukataa kata kata kutaja jina la mpinzani wake mkuu, Bw. Tundu Lissu. Sikumbuki kama nimewahi kumsikia Magufuli akitaja jina la Lissu hata siku moja.

Najua kwenye medani za saikolojia, kutotaja jina la adui yako inaweza kuwa ni ishara ya kumdharau na kujaribu kuonyesha kuwa haumuwazii lakini inaweza kuwa ishara ya woga uliozidi kipimo.

Muhammad Ali, bondia maarufu kuwahi kutokea duniani aliwahi kubadilisha dini yake iliyopelekea kubadili na jina lake kutoka kuitwa Cassius Clay. Media na baadhi ya watu walisuasua kuanza kutumia jina lake jipya jambo ambalo kumbe lilikuwa linamkera sana Ali.

Siku moja akawa anapambana na bondia Ernie Terrell. Bondia huyu alikuwa anakataa kumuita Ali kwa jina lake jipya hata walipokutana katika TV Show kabla ya pambano. Ali akamwambia:

"My name is Muhammad Ali, and you will announce it right there in the centre of that ring after the fight, if you don't do it now,". Terrell bado akakataa!

Kilichofuata ni Ali kumchakaza Terrell kwa kipigo cha mbwa koko katika moja ya mapambano ya kihistoria yanayokumbukwa katika mchezo wa ngumi. Ali alikuwa anamchakaza mpinzani wake huku akimrushia maneno ya hasira na kejeli, “Jina langu Nani? What’s my Name?”.


Lissu amekuja katika uchaguzi huu kutoa changamoto ya karne katika medani za siasa. Anajua hilo, wapinzani wake wanajua hilo, na sisi tunajua hilo.

Kuna siku aje amuamuru hasimu wake mkuu, alitaje jina lake sasa au atakuja kulitaja akiwa katika mazingira yasiyo rafiki sana kwake. Itapendeza akimuuliza hilo swali September 07, 2020.
What's my name Mr. President?
 
Back
Top Bottom