Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Hizo ndio hadithi zenu,Ila amini kwamba kuwe na Tume Huru hakika Magufuli kwa Lissu ni mwepesi zaidi ya tishu.Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?
Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Unazurura korido za Lumumba unajifanya upo singidaNipo huku jimbo la Singida mashariki.
Lisu hakuna kitu huku,lisu huku ni kama dagaa tuu.
Mnavyotegemea ushindi huu uchaguzi ujao , kuna tume huru sasa?au ndo ndoto za mchanaHizo ndio hadithi zenu,Ila amini kwamba kuwe na Tume Huru hakika Magufuli kwa Lissu ni mwepesi zaidi ya tishu.
Mkuu nadhani kuna kitu umeamua tu kujifanya hukijui, lakini ukweli unaujua. Mrema alishinda, Seif alishinda Z'bar na hata EL mwaka 2015 alishinda. Kwa uchaguzi wa TZ na mfumo wa tume ya uchaguzi ulivyo, hata mimi sitegemei Lissu atangazwe mshindi hata akishinda. Anayetangaza mshindi wa uraisi ni tume, na akishatangaza hakuna sehemu yeyote unayoweza kwenda kupinga ushindi wake.Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?
Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Akikujibu nijulishe.una maana hata kwa jpm wanajaa tu lakini kura hawampi(?
Bila bao la mkono na hila ccm walishashindwa tangu 1995 wakati wa Mrema.Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?
Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli hata awe akimtaja kwa jina wakati wa Campaigns?
Sijui umri wako mleta mada; iwapo umefikisha 40s, basi, usiendelee kusumbua kichwa. Waliwahi pita akina Mrema, Lowasa. Hii ya huyu bwana mdogo Lissu mbona ni cha mtoto tu. Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
Lissu hawezi kumshinda Magufuli na kama bado huamini, subiri hiyo 28, Oktoba 2020.
Jana tu nimeangalia hapa Shinyanga, mahudhurio ya wananchi yalikuwa zaidi ya yale ya Lowassa! Hivyo ni ushahidi tosha kabisa Lissu ameteka nyoyo za watu!Kwamba Lowassa na Mrema ndy walikuwa tishio kwa CCM? Hujui siasa ww
Nipo huku jimbo la Singida mashariki. Lisu hakuna kitu huku, lissu huku ni kama dagaa tu.
Nadhani itakuwa mashariki ulipo ww na mimi ni tofauti. Huyu mgombea kati ya majimbo yatakayomshangaza kwa kumpa kura robo moja wapo ni hili. Tangu nimefika hapa wanakijiji wanalalama tuu kwamba hakuna alichokifanyaUlichokiandika hakina uhalisia wowote, nipo Singida mashariki pia
haaa haaa haaaa inatosha mkuu.Unazurura korido za Lumumba unajifanya upo singida,acha uzwazwa!
Hapo me nilikuwepo mkuu,nyomi hii sijawahi ona tangu nimeanza kuliona jua kwa mara ya kwanzaAngalia video hii niambie huyo mtu anakubalika kweli huko Singida.
[SUB][/SUB]
Mmh! Kwamba Lissu ni tishio kwa Magufuli..
Watanzania wana siasa wanazijua wenyewe. Watajaa kukusikiliza. Watasukuma hadi gari lako ati usimalize mafuta; kwenye kura sasa! Hapo ndiyo yanaanza, Nimeibiwa kura!
Ina maana hujui kuwa Nyerere alikuta chakula kikiwa tayari mezani?Unakariri maisha hata enzi za ukoloni walikuepo kina Mangi sina Kinjekitilewa vita vya majimaji ,chief mkwawa wakipambania Uhuru wa Tanganyika wakashindwa.Alipokuja Nyerere wakajisemea kama tuliwashinda kina mkwawa je sembuse nyerere kikawakuta
Angalia video hii niambie huyo mtu anakubalika kweli huko Singida.
[SUB][/SUB]
What's my name Mr. President?Mara kadhaa nimelinganisha mtanange wa uchaguzi wa mwaka huu na pambano la ngumi kati ya Muhammad Ali na George Foreman.
Leo hii nitagusia jambo ambalo nadhani wengi mtakuwa mmeligundua. Nalo ni hii tabia ya mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli kukataa kata kata kutaja jina la mpinzani wake mkuu, Bw. Tundu Lissu. Sikumbuki kama nimewahi kumsikia Magufuli akitaja jina la Lissu hata siku moja.
Najua kwenye medani za saikolojia, kutotaja jina la adui yako inaweza kuwa ni ishara ya kumdharau na kujaribu kuonyesha kuwa haumuwazii lakini inaweza kuwa ishara ya woga uliozidi kipimo.
Muhammad Ali, bondia maarufu kuwahi kutokea duniani aliwahi kubadilisha dini yake iliyopelekea kubadili na jina lake kutoka kuitwa Cassius Clay. Media na baadhi ya watu walisuasua kuanza kutumia jina lake jipya jambo ambalo kumbe lilikuwa linamkera sana Ali.
Siku moja akawa anapambana na bondia Ernie Terrell. Bondia huyu alikuwa anakataa kumuita Ali kwa jina lake jipya hata walipokutana katika TV Show kabla ya pambano. Ali akamwambia:
"My name is Muhammad Ali, and you will announce it right there in the centre of that ring after the fight, if you don't do it now,". Terrell bado akakataa!
Kilichofuata ni Ali kumchakaza Terrell kwa kipigo cha mbwa koko katika moja ya mapambano ya kihistoria yanayokumbukwa katika mchezo wa ngumi. Ali alikuwa anamchakaza mpinzani wake huku akimrushia maneno ya hasira na kejeli, “Jina langu Nani? What’s my Name?”.
Lissu amekuja katika uchaguzi huu kutoa changamoto ya karne katika medani za siasa. Anajua hilo, wapinzani wake wanajua hilo, na sisi tunajua hilo.
Kuna siku aje amuamuru hasimu wake mkuu, alitaje jina lake sasa au atakuja kulitaja akiwa katika mazingira yasiyo rafiki sana kwake. Itapendeza akimuuliza hilo swali September 07, 2020.