Uchaguzi 2020 Lissu muulize mpinzani wako, ‘Jina lako ni nani?’


Hujaeleweka (watajaa kukusikiliza lakini kwenye kura?) Unataka kutuaminisha iwapo mgombea akijaza watu ishara yake ni kukosa? Kwa hiyo rungwe kwa kuwa hajazi watu ndio atapata kura?
 
Magufuli hawezi taja jina la TL kwa sababu anaona Lissu ni mzimu. Risasi 16 lakini ndiyo hivyo bado Lissu anadunda. Sidhani kama anaweza onana na Lissu uso kwa uso bila ya kutetemeka. Ni kama wewe uonane uso kwa uso na mtu wako aliyefariki na kuzikwa zamani.
 
Msimlaumu Rais Magufuli. Haoni sababu ya kumjua wala kutaja jina la Lissu. Hii inamwepushia kumpa kiki Lissu kuwa anatajwa jina na Rais. Na inampunguzia mzigo Rais wetu wa kubalance kwamba akimtaja basi awataje na wengine wote. Mgombea pekee ambaye hata mimi ningependa Rais Magufuli awe anamtajataja ni SIPUNDA HASHIMU RUNGWE!
 
Unakariri maisha hata enzi za ukoloni walikuepo kina Mangi sina Kinjekitilewa vita vya majimaji ,chief mkwawa wakipambania Uhuru wa Tanganyika wakashindwa.Alipokuja Nyerere wakajisemea kama tuliwashinda kina mkwawa je sembuse nyerere kikawakuta
Alikudanganya nani kukufundisha kwamba hao kina mangi walishindwa akaja kuweza nyerere?
 
Yangu Nilimpa Lowassa safari hii nampa Magufuri So Bro hakijaharibiKa kitu tumabadailishanaa MAGU ATABAKI KUWA PRESDENT
 

Nadhani haujaelewa nia yangu ya kuweka hiyo video. Iangalie halafu cheki responses za watu wakiambiwa ‘CCM hoyee’. Ni kama watu wako pale lakini siyo kwa ajili ya kutoa support.
 
Mungu amesha amua kwa neno lake Tundu Lissu awe Rais was nchi hii.
Mwenge umezimwa, CCM imekufa, wanapoteana.
Ule Moshi wa kishetani wa kutupumbaza, mwaka huu utawapumbazeni CCM , polisi, TISS, na tume ya uchaguzi
kosa kubwa wamefanya kuzima kafara lao la mwenge
watajuta
 
Mungu amesha amua kwa neno lake Tundu Lissu awe Rais was nchi hii.
Mwenge umezimwa, CCM imekufa, wanapoteana.
Ule Moshi wa kishetani wa kutupumbaza, mwaka huu utawapumbazeni CCM , polisi, TISS, na tume ya uchaguzi
Duh!
Lisu huyuhuyu Tundu?
Ebu acha kumkejeli Mungu kamanda!
 
Wewe umelewa sasa kama hutaamini magufuli anaondoka madarakani subiri hiyo octoba 28 mwaka huu usije ujajinyonga
 
Huu uchaguzi una maneno mengi sana ya kwenye kanga.
 

Badilisha akili zako kidogo, maana hata Malawi walisema hivyo. Kupita wakina Mrema siyo kigezo wala sababu ya Lisu kutokushinda uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…