Lissu na Hayati Magufuli nani mzalendo wa kweli?

Lissu na Hayati Magufuli nani mzalendo wa kweli?

Lissu na kundi lake wakati wa Korona walifikiri suluhisho la Korona kwa haraka ni kufanya lockdown. Hivi aliwaza kwa mazingira ya Watanzania ambao wengi ni machinga, kwamba kula yao ni lazima watoke? Magufuli alijua aina ya maisha ya watu wake na mbinu gani aitumie. Kwa muda ule, Lissu angekuwa ndiye rais, angewaua wananchi wengi ama kwa njaa au kwa risasi maana angelazimisha kutekeleza lockdown ambayo wananchi wangeigomea. Kwangu, Magufuli kufa kwa Korona kama mnavyodai, mimi naona anathibitisha ushujaa wake wa mwanajeshi kufia vitani.

Magufuli was a hero, Lissu is just a traitor. Tunapambania kurudisha migodi mikononi mwa Watanzania, Lissu anakuwa upande wa maadui kuwapa mbinu ya kukamata madege yetu. Huo ni usaliti na alistahili kifo. He is just a puppet. Tunaanzisha mradi mkubwa wa umeme kule Rufiji, yeye anakuwa wa kwanza kuukataa kisa mazingira. Nataka nikukumbushe, Lissu, ili kuwe na economic development lazima kuwe na economic growth. Economic growth inakuwa na environmental negative impacts.

Wakati wa mkataba wa mazingira wa Kyoto, kama sitakosea, juu ya athari za viwanda kwenye mazingira, nchi za Magharibi zilikataa kuacha uzalishaji wa viwanda wakisema kwa wakati huo economic growth ilikuwa ni muhimu ukilinganisha na umuhimu wa kutunza mazingira. Na kwa maneno mengine ni kuwa kama kuharibu mazingira ilikuwa ndiyo njia pekee ya kufikia maisha mazuri kwa watu wao basi ilikuwa ni lazima yaharibiwe. Magufuli aliliona na kulijua hilo. Huyu alikuwa shujaa.

Tungekuwa na Magufuli kwa muda mrefu, najua tungechoka njaa ya muda, lakini baadaye tungepata shibe ya muda mrefu. Vikwazo vya Magharibi vingekuwepo, lakini vingekuwa ni fursa ya maendeleo kwetu kama ilivyo kwa Iran na mataifa mengine. Lissu hawezi kuwa mzalendo, ila ni puppet. Unaona anavyowaza western solutions to African problems.

Lissu hakustahili kuishi kabisa. Aliyekabidhiwa ile mission, kama ni kweli, naye ni msaliti na alitakiwa afe wa kwanza. Tanzania kwanza! Tunahitaji kiongozi atakayetoa suluhisho la Kitanzania kwa matatizo ya Watanzania.
Mkuu ni swali umeuliza au
 
Magu alikuwa na kaushamba ivi ka madaraka.
Magu si mtu wa demokrasia anachoamini yeye ndiyo hicho hicho lazima wote mkikubali ukigoma anakuwashia moto.
 
Lissu na kundi lake wakati wa Korona walifikiri suluhisho la Korona kwa haraka ni kufanya lockdown. Hivi aliwaza kwa mazingira ya Watanzania ambao wengi ni machinga, kwamba kula yao ni lazima watoke? Magufuli alijua aina ya maisha ya watu wake na mbinu gani aitumie. Kwa muda ule, Lissu angekuwa ndiye rais, angewaua wananchi wengi ama kwa njaa au kwa risasi maana angelazimisha kutekeleza lockdown ambayo wananchi wangeigomea. Kwangu, Magufuli kufa kwa Korona kama mnavyodai, mimi naona anathibitisha ushujaa wake wa mwanajeshi kufia vitani.

Magufuli was a hero, Lissu is just a traitor. Tunapambania kurudisha migodi mikononi mwa Watanzania, Lissu anakuwa upande wa maadui kuwapa mbinu ya kukamata madege yetu. Huo ni usaliti na alistahili kifo. He is just a puppet. Tunaanzisha mradi mkubwa wa umeme kule Rufiji, yeye anakuwa wa kwanza kuukataa kisa mazingira. Nataka nikukumbushe, Lissu, ili kuwe na economic development lazima kuwe na economic growth. Economic growth inakuwa na environmental negative impacts.

Wakati wa mkataba wa mazingira wa Kyoto, kama sitakosea, juu ya athari za viwanda kwenye mazingira, nchi za Magharibi zilikataa kuacha uzalishaji wa viwanda wakisema kwa wakati huo economic growth ilikuwa ni muhimu ukilinganisha na umuhimu wa kutunza mazingira. Na kwa maneno mengine ni kuwa kama kuharibu mazingira ilikuwa ndiyo njia pekee ya kufikia maisha mazuri kwa watu wao basi ilikuwa ni lazima yaharibiwe. Magufuli aliliona na kulijua hilo. Huyu alikuwa shujaa.

Tungekuwa na Magufuli kwa muda mrefu, najua tungechoka njaa ya muda, lakini baadaye tungepata shibe ya muda mrefu. Vikwazo vya Magharibi vingekuwepo, lakini vingekuwa ni fursa ya maendeleo kwetu kama ilivyo kwa Iran na mataifa mengine. Lissu hawezi kuwa mzalendo, ila ni puppet. Unaona anavyowaza western solutions to African problems.

Lissu hakustahili kuishi kabisa. Aliyekabidhiwa ile mission, kama ni kweli, naye ni msaliti na alitakiwa afe wa kwanza. Tanzania kwanza! Tunahitaji kiongozi atakayetoa suluhisho la Kitanzania kwa matatizo ya Watanzania.
Wewe uliyeandika haya unauzalendo gani wa nchi?
Umeisaidia nini nchi?
Uzalendo ni kumpiga risasi ili afe?

Basi yeye hakufa na waliopanga misheni ya kumuua wengine wamekufa na yeye bado yupo hai kwasababu Mungu hakutaka yeye afe.

Nje ya uongozi huyo Magufuli aliwasaidia nini wananchi?
 
Kheri Mbwa aliye hai kusiko Simba mfu.

Mzalendo ni mwenye kutaka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote.

Kwa Sasa Lissu ndiye mzalendo, hataki RUSHWA, mwenye msimamo, mchapakazi, visionary nk

Tunakwenda na Lissu.
 
Wote wapo same level, unfortunately nature iliamua tofauti
 
Mimi nilitamani sana hawa watu wawili washirikiane lakini badala yake akaamua kuhasimiana hadi kuumizana. Tundu Lissu ni mwanasiasa mwenye uwezekano mkubwa wa kuwa Rais wa nchi hii kwa sababu atapata uungwaji mkono zaidi kutoka kwa wafuasi wa Magufuli na wale ambao kwa miaka mingi walijitenga na mambo ya siasa.
 
Lissu na kundi lake wakati wa Korona walifikiri suluhisho la Korona kwa haraka ni kufanya lockdown. Hivi aliwaza kwa mazingira ya Watanzania ambao wengi ni machinga, kwamba kula yao ni lazima watoke? Magufuli alijua aina ya maisha ya watu wake na mbinu gani aitumie. Kwa muda ule, Lissu angekuwa ndiye rais, angewaua wananchi wengi ama kwa njaa au kwa risasi maana angelazimisha kutekeleza lockdown ambayo wananchi wangeigomea. Kwangu, Magufuli kufa kwa Korona kama mnavyodai, mimi naona anathibitisha ushujaa wake wa mwanajeshi kufia vitani.

Magufuli was a hero, Lissu is just a traitor. Tunapambania kurudisha migodi mikononi mwa Watanzania, Lissu anakuwa upande wa maadui kuwapa mbinu ya kukamata madege yetu. Huo ni usaliti na alistahili kifo. He is just a puppet. Tunaanzisha mradi mkubwa wa umeme kule Rufiji, yeye anakuwa wa kwanza kuukataa kisa mazingira. Nataka nikukumbushe, Lissu, ili kuwe na economic development lazima kuwe na economic growth. Economic growth inakuwa na environmental negative impacts.

Wakati wa mkataba wa mazingira wa Kyoto, kama sitakosea, juu ya athari za viwanda kwenye mazingira, nchi za Magharibi zilikataa kuacha uzalishaji wa viwanda wakisema kwa wakati huo economic growth ilikuwa ni muhimu ukilinganisha na umuhimu wa kutunza mazingira. Na kwa maneno mengine ni kuwa kama kuharibu mazingira ilikuwa ndiyo njia pekee ya kufikia maisha mazuri kwa watu wao basi ilikuwa ni lazima yaharibiwe. Magufuli aliliona na kulijua hilo. Huyu alikuwa shujaa.

Tungekuwa na Magufuli kwa muda mrefu, najua tungechoka njaa ya muda, lakini baadaye tungepata shibe ya muda mrefu. Vikwazo vya Magharibi vingekuwepo, lakini vingekuwa ni fursa ya maendeleo kwetu kama ilivyo kwa Iran na mataifa mengine. Lissu hawezi kuwa mzalendo, ila ni puppet. Unaona anavyowaza western solutions to African problems.

Lissu hakustahili kuishi kabisa. Aliyekabidhiwa ile mission, kama ni kweli, naye ni msaliti na alitakiwa afe wa kwanza. Tanzania kwanza! Tunahitaji kiongozi atakayetoa suluhisho la Kitanzania kwa matatizo ya Watanzania.
Lissu sio kariba ya kulinganishwa na the late JMP. Halafu what kinda comparison enye mzima na mmauti!

Compare chairman kwa chairperson wenye wako kwa mbungi
 
Back
Top Bottom