Lissu na Heche achaneni na sherehe za kumtoa Mbowe madarakani. Mjue mpaka leo Soka hajapatikana nyie mnafanya tafrija

Lissu na Heche achaneni na sherehe za kumtoa Mbowe madarakani. Mjue mpaka leo Soka hajapatikana nyie mnafanya tafrija

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Waluomchua soka wanafahamika kawaambie wamwachie huko walikomficha
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
wewe umefanya nn?
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Tunafurahi kweli kweli. 20yrs and nothing to show for it in the 2025LGE?
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Umesahahu na mapochopocho mengine bana, hukualikwa?
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Haki yake
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa
Uliona wapi ama kusikia wapi Waheshimiwa wa Chama chetu ni Polisi ama Usalama wa Taifa? Unataka bafanyeje?
kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.

Ww ndio maana hatukukualika kwenye tafrija zetu.😁😜
mbowe yupo kimya kwasababu ameshindwa uchaguzi, ni kwamba anaponyesha kidonda.😭
 
Sherehe ni baada ya ghiliba kufanikiwa..

Sasa kuliendesha gari halina mafuta ndio kipengele...
 
Hakuna viongozi hapo,wakiongea nusu saa watu wameshasahau kwamba Lisu kaongea,Mbowe alikuwa akiongea hata Bungeni wanahaha kumjibu pamoja na kwamba hayupo Bungeni.Uongozi ni kipaji.Sasa wanafanya sherehe wanasahau kazi bado!!.
 
Ruzuku inakata uchaguzi ukianza Mwenyekiti hajui fedha za kuendesha chama atapata wapi akidhani labda ahadi hewa ya diaspora ya bil moja itapatikana.
Hata Ile million 30 aliyotakiwa kuchangisha kwa akili ya uchaguzi bado hajawasilisha.😡
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Soka kashikiliwa na Jeshi la Polisi, siyo Lissu wala Heche!!

Unafikiri Kwa kutumia makalio
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
LISU HAMNA KITU NI ROPOROPO AND CHADEMA IS GOING TO DIE A NATURAL DEATH, A THING I WOULD NOT LIKE TO HAPPEN
 
Hilo ni jukumu la vyombo vya dola kuhakikisha waliotekwa na kupotea wanapatikan
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
 
Ruzuku inakata uchaguzi ukianza Mwenyekiti hajui fedha za kuendesha chama atapata wapi akidhani labda ahadi hewa ya diaspora ya bil moja itapatikana.
Hata Ile million 30 aliyotakiwa kuchangisha kwa akili ya uchaguzi bado hajawasilisha.😡
Michango ya gari haijulikani imeenda wapi hakuna feedback wanatangaza michango mingine
 
Hakuna viongozi hapo,wakiongea nusu saa watu wameshasahau kwamba Lisu kaongea,Mbowe alikuwa akiongea hata Bungeni wanahaha kumjibu pamoja na kwamba hayupo Bungeni.Uongozi ni kipaji.Sasa wanafanya sherehe wanasahau kazi bado!!.
Lissu alikuwa anatembelea nyota ya Mbowe kwenye kampeni.
 
Back
Top Bottom