Lissu na Heche achaneni na sherehe za kumtoa Mbowe madarakani. Mjue mpaka leo Soka hajapatikana nyie mnafanya tafrija

Lissu na Heche achaneni na sherehe za kumtoa Mbowe madarakani. Mjue mpaka leo Soka hajapatikana nyie mnafanya tafrija

Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Labda na wenyewe wanaaga, unadhani kazi iliyombele yao mchezo?! Patakufa mtu nakwambia
 
Mimi nawakumbusha team Lissu waliokuwa wanasema Mbowe kakaa kimya hafanyi kitu sasa chama wanacho wao wachukue hatua
Chama kinajifia mzee...

Sasa kina Hilda Newton ndio watamshawish nani?

Jamaa kazungukwa na failure watupu..
 
Chama kinajifia mzee...

Sasa kina Hilda Newton ndio watamshawish nani?

Jamaa kazungukwa na failure watupu..
IMG-20250213-WA0010.jpg


Hapa kuna chama kweli?
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Mnapokua mnaandika hua akili mmeziweka wapi Mkuu?? Hivi mtoto wa kiume kabisa unashika simu yako au keyboard unaandika mambo ya kike hivi, majungu majungu majungu...

Grow Up Buddy!!!
 
Mimi nawakumbusha team Lissu waliokuwa wanasema Mbowe kakaa kimya hafanyi kitu sasa chama wanacho wao wachukue hatua
kwaiyo unawapangia agenda na vipau mbele sio? wewe fanya ya upande wako sababu hata ukiitwa uandamane kudai haki ya kuishi hutaweza kujitokeza
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Hana hela ya kufanya mission yoyote
 
Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.

Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.

Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.

Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Ni ushauri mwema, kwa sasa heche na lissu wasilale, mguu kwa mguu nchi nzima iwe bara na visiwani, pia nje ya nchi mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom