sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Gari imekata moto mapema. Baada ya sherehe zao za kumuondoa Mbowe hawajui wafanye niniSherehe ni baada ya ghiliba kufanikiwa..
Sasa kuliendesha gari halina mafuta ndio kipengele...
Labda na wenyewe wanaaga, unadhani kazi iliyombele yao mchezo?! Patakufa mtu nakwambiaTunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Mimi nawakumbusha team Lissu waliokuwa wanasema Mbowe kakaa kimya hafanyi kitu sasa chama wanacho wao wachukue hatuawewe umefanya nn?
Never say never.mbona soka alishakata mawasiliano na dunia kitambo
Chama kinajifia mzee...Mimi nawakumbusha team Lissu waliokuwa wanasema Mbowe kakaa kimya hafanyi kitu sasa chama wanacho wao wachukue hatua
Chama kinajifia mzee...
Sasa kina Hilda Newton ndio watamshawish nani?
Jamaa kazungukwa na failure watupu..
Kabisa hilo ndio wale wenzake wanaona sasa hivi,na wameshamtukana hawajui hatima ya LisuLissu alikuwa anatembelea nyota ya Mbowe kwenye kampeni.
Hauamini?siku zote hizo alizipotea hawana hela ya kumlisha.Never say never.
Mnapokua mnaandika hua akili mmeziweka wapi Mkuu?? Hivi mtoto wa kiume kabisa unashika simu yako au keyboard unaandika mambo ya kike hivi, majungu majungu majungu...Tunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
kwaiyo unawapangia agenda na vipau mbele sio? wewe fanya ya upande wako sababu hata ukiitwa uandamane kudai haki ya kuishi hutaweza kujitokezaMimi nawakumbusha team Lissu waliokuwa wanasema Mbowe kakaa kimya hafanyi kitu sasa chama wanacho wao wachukue hatua
Hana hela ya kufanya mission yoyoteTunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
Ni ushauri mwema, kwa sasa heche na lissu wasilale, mguu kwa mguu nchi nzima iwe bara na visiwani, pia nje ya nchi mpaka kielewekeTunaona bado mpo mnasherekea kumtoa Mbowe madarakani.
Heche kachinja ng'ombe 20 na kapikiq wakurya sefuria 68 za ubwabwa.
Lissu alifanya kufuru Ikungi watu wamekunywa komoni, wameitwa watambikaji kumzindika asiguswe kwenye kiti cha chairman, ni mwendo wa sherehe back to back za kumng'oa mwenyekiti Mbowe.
Lakini mjue mpaka leo Soka hajapatikana uko kanda ya ziwa kwa kina Heche dogo wa bavicha ametekwa mlisema watu wanaotekwa Mbowe yupo kimya. Nyinyi mnafanya sherehe.
KabisaaaNi ushauri mwema, kwa sasa heche na lissu wasilale, mguu kwa mguu nchi nzima iwe bara na visiwani, pia nje ya nchi mpaka kieleweke