Lissu na wengine wenye majigambo ya ubobezi wa sheria wanajadili mkataba hewa

Lissu na wengine wenye majigambo ya ubobezi wa sheria wanajadili mkataba hewa

Sina shida kama tukijadiliana tukijua tunachojadili ni makubaliano (agreement) na si mkataba (contract). Tatizo ninalo liona na kinchoendelea ni kana kwamba kuna mkataba tayari.
Mkuu hebu turudi katika maisha ya kawaidia. Familia A ikipeleka barua ya uchumba kwa familia B hatuwezi kujadili hiyobarua kama ndoa kati ya C NA D kutoka familia A & B respectively. Uchumba siyo ndoa, na barua ya uchumba kabala yajapokewa kukubaliwa na kujibiwa kuwa imekubaliwa hakuna uchumba.
....kwa vile umeleta mfano huu kwa mfanano wa makubaliano kati ya Tz na kampuni la Dubai, tufanye hivi, barua ya uchumba imepokelewa na ikaazimiwa sasa inakuwa sio barua ya uchumba tena, majadiliano yanakaa kiposaposa na kwa sheria za 'kijamii' hapa pande zote zinafungwa na makubaliano yaliyoazimiwa. Posa hii ndiyo inayojadiliwa sasa maana uchumba umekubaliwa kwa maana ya mutual assent, na anayechumbia keshaleta barua ikaazimiwa (call it expressed valid offer na tumekubali 'acceptance' kama ndugu ---sijaziiona number kwa maana ya DPW watatoa kiasi gani mtoto wetu wamchukue 'capacity', na sisi kama wanafamilia 'bunge tumepima weeee (call it adequate consideration) tukaona huyu mchumba anafaa kuwa kwenye familia yetu. Yuko vizuri

Jirani mnoko na ni mlevi tu tunamjua hatukumshirikisha kwenye tulipopokea barua ila kwenye kujadili kuikubalia barua ya uchumba tukwambia bwanawewe karibu, kaja kilevi na maarifa yake anasema mbona mnataka kuukubali huu uchumba unaosema sio kwamba anamtaka binti yenu tu bali na wadogo zake wa nyumba hii walioko Tanganyika kule kote wanakofanana? Sisi kwa mahaba ya mleta posa aliyevaa kanzu na koti (hivi ni lazima washanga wavvae hivi!!!) tunasema wewe jirani ni mlevi na una nongwa.

Mdau, hapo nilipokoleza, bunge kuazimia maana yake binti ndo keshang'oka na jamaa keshaanza kujilia vya ndani ukirejea kwenye barua yake tuliyoiazimia kaazimia kuwa ataanza kumfaidi mwanetu kimazabemazabe kidogo kidogo kabla hamjamtengenezea sheria.
 
Kwa elimu ya awali kabisa ya sheria inayohusiana na mkataba kile kilichopelekwa bungeni na kuzaa azimo la bunge hakina sifa ya kuitwa mkataba (contract) bali ni makubaliano (agreement). Wasomi wetu wa sheria wamepitwaje na jambo hili la msingi kiasi cha kutumia vigezo vya mkataba kuhukumu makubaliano?
JF ni kubwa, na mabandiko kuhusu Mwarabu wa Dubai ni mengi, hivyo bandiko hili Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! litakuwa limekupita!.
P
 
Basically ‘agreements’ inahusisha makubaliano yoyote.

Makubaliano yamegawanya katika sehemu mbili.

Domestic Arrangements: definition yake ni kubwa na ina mambo mengi (better to get it from google). For most part uwezi kushitaki mtu kwa kuvunja domestic arrangements.

Contract ni legal binding arrangement; ambazo unaweza shitaki.

Kwa sababu makubaliano ya ‘domestic arrangements’ na ‘contract’ yanaweza fanana kwa kiasi kikubwa.

Ukienda mahakamani kama kulikuwa na mkanganyiko hayo makubaliano ni ‘Domestic’ au ‘Contract’ kuna test za kubaini kama hizo arrangements zina sifa ya kuitwa contract.

Kwa hivyo international trade agreements generally speaking ni sawa na domestic arrangements; not fully contracts.
 
Kwa elimu ya awali kabisa ya sheria inayohusiana na mkataba kile kilichopelekwa bungeni na kuzaa azimo la bunge hakina sifa ya kuitwa mkataba (contract) bali ni makubaliano (agreement). Wasomi wetu wa sheria wamepitwaje na jambo hili la msingi kiasi cha kutumia vigezo vya mkataba kuhukumu makubaliano?

============

Agreements vs. contracts: The same, but different​

An agreement is a prelude to a contract. The “meeting of minds” that defines both an agreement and a contract is an essential part of both. One of the valid reasons to cancel a contract is a mutual mistake. This can occur when—despite both parties believing they agree on a fact or clause—one or both of them are wrong.

‌Both an agreement and a contract require that the parties be on the same page when it comes to who is doing what, who gets what in return, and when any necessary actions will take place. Both agreements and contracts are recognized to be arrangements between two or more parties to perform certain responsibilities.

‌The critical difference is that contracts are recognized as legally enforceable promises to perform. Some agreements—such as clickwrap agreements—have been held to be legally enforceable, but those agreements must have certain legal terminology that indicates the parties’ intent to enter into a binding agreement.

‌Making an agreement into a contract​

Taking an agreement or a basic contract and upgrading it into a digital contract is not as easy as A-B-C, but it doesn’t have to be too difficult. Modern contract lifecycle management (CLM) takes basic agreements and contractual details and melds them into a workable contract for the end-user.
Sasa mktaba halisi uko wapi umekuja na kubwabwaja hewa hapa? Hicho ilichokieleza hapo juu kwa akili zako Tundu Lissu hajui? Usijitoa ufahamu kwa kushangilia ubatili
 
Kwa elimu ya awali kabisa ya sheria inayohusiana na mkataba kile kilichopelekwa bungeni na kuzaa azimo la bunge hakina sifa ya kuitwa mkataba (contract) bali ni makubaliano (agreement). Wasomi wetu wa sheria wamepitwaje na jambo hili la msingi kiasi cha kutumia vigezo vya mkataba kuhukumu makubaliano?

============

Agreements vs. contracts: The same, but different​

An agreement is a prelude to a contract. The “meeting of minds” that defines both an agreement and a contract is an essential part of both. One of the valid reasons to cancel a contract is a mutual mistake. This can occur when—despite both parties believing they agree on a fact or clause—one or both of them are wrong.

‌Both an agreement and a contract require that the parties be on the same page when it comes to who is doing what, who gets what in return, and when any necessary actions will take place. Both agreements and contracts are recognized to be arrangements between two or more parties to perform certain responsibilities.

‌The critical difference is that contracts are recognized as legally enforceable promises to perform. Some agreements—such as clickwrap agreements—have been held to be legally enforceable, but those agreements must have certain legal terminology that indicates the parties’ intent to enter into a binding agreement.

‌Making an agreement into a contract​

Taking an agreement or a basic contract and upgrading it into a digital contract is not as easy as A-B-C, but it doesn’t have to be too difficult. Modern contract lifecycle management (CLM) takes basic agreements and contractual details and melds them into a workable contract for the end-user.
Kuna yule pimbi mmoja anaitwa Mwabukusi, anaongea kwa maringo midomo yake kaipinda kumbe ni pumba tupu. Another Kilaza anapewa muda mbele ya macho yetu, nchi ina safari ndege sana hii.
 
Swali fupi. An agreement can be legally binding au huwa siyo binding?

Umeokoteza vitu ambavyo huna ujuzi nao, ukatoka navyo na kuja kubandika hapa.

Ngoja nikuingiza darasani kidogo kwa sababu inaobekana kwenye eneo hili wewe ni mtupu.

Every contract is an agreement, lakini siyo kila kila agreement ni contract. Kuna agreements ambazo ni legally binding, lakini pia kuna agreements ambazo siyo legally binding. Inategemea contents za agreement.

Agreement aliyosaini Mbarawa ni legally binding, haina tofauti na contract.

Hapa chini nikuwekee standard definitions huzi, ukishindwa kuelewa, kremu kama zilivyo.

People also ask

Is a written agreement the same as a contract?

‌A contract is an agreement, but an agreement is not always a contract. An agreement can be informal or it may be written; a contract may be verbal or written, but a contract will always be enforceable if it contains certain requirements.

Agreement can be legally binding and can be used in official legal proceedings. Both parties must accept the terms to make it legally binding. Examples of legally binding agreements include business contracts, privacy policies, and terms and conditions.
Tuwekee Ushahidi maana siasa nyingi sana kwenye hii issue, toka kwenye kauli yako
1. Eka Ushahidi kwamba Mbarawa amesign Legal Binding Contract
2. Tuwekee na huo Mkataba tuone.

Wengine wanapinga hawa wanatetea ila hakuna hata Mmoja anakuja na Ushahidi wowote ni Tantalila tu za kutosha.
 
Sasa mktaba halisi uko wapi umekuja na kubwabwaja hewa hapa? Hicho ilichokieleza hapo juu kwa akili zako Tundu Lissu hajui? Usijitoa ufahamu kwa kushangilia ubatili
Inaeleke Lissu akisema yeye ni baba yako mzazi unakubali na kwenda kubadirisha cheti chako ka kuzaliwa ukiambatanisha na kiapo cha kumkana baba yako mzazi
 
....kwa vile umeleta mfano huu kwa mfanano wa makubaliano kati ya Tz na kampuni la Dubai, tufanye hivi, barua ya uchumba imepokelewa na ikaazimiwa sasa inakuwa sio barua ya uchumba tena, majadiliano yanakaa kiposaposa na kwa sheria za 'kijamii' hapa pande zote zinafungwa na makubaliano yaliyoazimiwa. Posa hii ndiyo inayojadiliwa sasa maana uchumba umekubaliwa kwa maana ya mutual assent, na anayechumbia keshaleta barua ikaazimiwa (call it expressed valid offer na tumekubali 'acceptance' kama ndugu ---sijaziiona number kwa maana ya DPW watatoa kiasi gani mtoto wetu wamchukue 'capacity', na sisi kama wanafamilia 'bunge tumepima weeee (call it adequate consideration) tukaona huyu mchumba anafaa kuwa kwenye familia yetu. Yuko vizuri

Jirani mnoko na ni mlevi tu tunamjua hatukumshirikisha kwenye tulipopokea barua ila kwenye kujadili kuikubalia barua ya uchumba tukwambia bwanawewe karibu, kaja kilevi na maarifa yake anasema mbona mnataka kuukubali huu uchumba unaosema sio kwamba anamtaka binti yenu tu bali na wadogo zake wa nyumba hii walioko Tanganyika kule kote wanakofanana? Sisi kwa mahaba ya mleta posa aliyevaa kanzu na koti (hivi ni lazima washanga wavvae hivi!!!) tunasema wewe jirani ni mlevi na una nongwa.

Mdau, hapo nilipokoleza, bunge kuazimia maana yake binti ndo keshang'oka na jamaa keshaanza kujilia vya ndani ukirejea kwenye barua yake tuliyoiazimia kaazimia kuwa ataanza kumfaidi mwanetu kimazabemazabe kidogo kidogo kabla hamjamtengenezea sheria.
Hahahahah UMEONGEZA SANA CHUMVI. Barua ya uchumba ikikubaliwa uchumba unaanza. Tunaanza kutafuta tabia na uzuri wa mchumba na kule anakotoka. Tukilizika tunaruhusu posa, tunajadili mahari nk. Bunge limepewa nafasi ya kujadili sifa za mchumba kupitia azimio kwa niaba yetu wote. Sisi wengine tuko huku kwenye mitandao. Lakini majadiliano mengine sasa yanajadili ndoa; ndoa bado
 
  • Kicheko
Reactions: Obe
Swali fupi. An agreement can be legally binding au huwa siyo binding?

Umeokoteza vitu ambavyo huna ujuzi navyo, ukatoka navyo na kuja kubandika hapa kama vilivyo.

Ngoja nikuingize darasani kidogo kwa sababu inaonekana kwenye eneo hili wewe ni mtupu.

Every contract is an agreement, lakini siyo kila kila agreement ni contract. Kuna agreements ambazo ni legally binding, lakini pia kuna agreements ambazo siyo legally binding. Inategemea contents za agreement.

Agreement aliyosaini Mbarawa ni legally binding, haina tofauti na contract.

Hapa chini nikuwekee standard definitions hizi, ukishindwa kuelewa, kremu kama zilivyo.

People also ask

Is a written agreement the same as a contract?

‌A contract is an agreement, but an agreement is not always a contract. An agreement can be informal or it may be written; a contract may be verbal or written, but a contract will always be enforceable if it contains certain requirements.

Agreement can be legally binding and can be used in official legal proceedings. Both parties must accept the terms to make it legally binding. Examples of legally binding agreements include business agreements, privacy policies, and terms and conditions.
Mkuu sifa peke yake uliyonayo ni kujiita mwanasheria kisa umesoma sheria. Mie sijasoma sheria ila nimezaliwa hivyo. Sioni tofauti ya ulichosema na ambacho mimi nimeokoteza. Ni kile kile. Alichosaini Mbarawa doest not pass the test of a contact
 
Back
Top Bottom