Sijui Lisu, Godbless na wafuasi wao wanawaza nn vichwani mwao. Hivi uende nje ya nchi kudai haki yako, ukitegemea nchi hizo tajiri ziwape wananchi wako hiyo haki unayoidai bureee bila maslahi!!
Ukweli ni kwamba, Lisu akifanikiwa na mpangomkakati wake huu aliouanzisha, mtasikia mashirika mengi ya serikali, migodi, rasilimali nk vimebinafsishwa . Na hii ndio hasara kubwa ya kuingiza mataifa tajiri kukusaidia kutatua migogoro nchini mwako .
Wafuasi wa Lisu, kaeni mkijua, siku Lisu akiwa raisi, watakaofaidika ni Lisu na vigogo wenzake. Wafuasi wake mtabaki kuwa mashabiki tu na mtaendelea kuminywa na kukandamizwa kuliko utawala huu wa CCM.
Ukweli ni kwamba, Lisu akifanikiwa na mpangomkakati wake huu aliouanzisha, mtasikia mashirika mengi ya serikali, migodi, rasilimali nk vimebinafsishwa . Na hii ndio hasara kubwa ya kuingiza mataifa tajiri kukusaidia kutatua migogoro nchini mwako .
Wafuasi wa Lisu, kaeni mkijua, siku Lisu akiwa raisi, watakaofaidika ni Lisu na vigogo wenzake. Wafuasi wake mtabaki kuwa mashabiki tu na mtaendelea kuminywa na kukandamizwa kuliko utawala huu wa CCM.