Lissu nakusihi tena kwa Mara nyingine fukuza hawa Wapambe wa Mbowe na CCM,Usiwe na akili za Magufuli

Lissu nakusihi tena kwa Mara nyingine fukuza hawa Wapambe wa Mbowe na CCM,Usiwe na akili za Magufuli

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Ni majuzi tu hapa nilitoa angalizo kuhusu hawa Mabwana waliojifanya ni Wana CHADEMA kwa muda mrefu kumbe ni mapindikizi ya CCM ndani ya CHADEMA

Nahisi kwa hali inayo endelea hawa vibaraka wanapswa kufukuzwa Uanachama wawe wanapenda au hawapendi

Kuna hawa watu wakiendelea kuwa ndani ya chama nahisi hakuna Amani itatokea CHADEMA na sio Leo au kesho

1:Boniface Jacob( Boni yai)
2:Lembrus Mchome
3:Martin Maranja
4:Godlisten Malissa
5:Ntobi
6:Ezekiah Wenje
7:James Mbowe etc

Hawa watu wanachofanya sio kujenga Chama bali ni kuhakikisha Chama hakipigi hatua mbele

Magu aliambiwa pia kuwa ile team nzima ya JK ni ya kuondoa kwenye Chama na serikalini lakini akaleta usukuma na Ukristo mwingi…….kusamehe samehe ndio kulimponza na hatimae wakamla kichwa

Tundu Lissu hakikisha hawa watu hawaendelei kuwa ndani ya chama chenu maanaa mikakati inayopikwa kwa sasa ni mikubwa mno
 
Ni majuzi tu hapa nilitoa angalizo kuhusu hawa Mabwana waliojifanya ni Wana CHADEMA kwa muda mrefu kumbe ni mapindikizi ya CCM ndani ya CHADEMA

Nahisi kwa hali inayo endelea hawa vibaraka wanapswa kufukuzwa Uanachama wawe wanapenda au hawapendi

Kuna hawa watu wakiendelea kuwa ndani ya chama nahisi hakuna Amani itatokea CHADEMA na sio Leo au kesho

1:Boniface Jacob( Boni yai)
2:Lembrus Mchome
3:Martin Maranja
4:Godlisten Malissa
5:Ntobi
6:Ezekiah Wenje
7:James Mbowe etc

Hawa watu wanachofanya sio kujenga Chama bali ni kuhakikisha Chama hakipigi hatua mbele

Magu aliambiwa pia kuwa ile team nzima ya JK ni ya kuondoa kwenye Chama na serikalini lakini akaleta usukuma na Ukristo mwingi…….kusamehe samehe ndio kulimponza na hatimae wakamla kichwa

Tundu Lissu hakikisha hawa watu hawaendelei kuwa ndani ya chama chenu maanaa mikakati inayopikwa kwa sasa ni mikubwa mno
✌️✌️
 
Hawa watu wanachofanya sio kujenga Chama bali ni kuhakikisha Chama hakipigi hatua mbele
Mbona mapema sana? Wamekwamisha kitu gani hata mwezi haujaisha? Yaani Lissu aache kujitenga na Msigwa na Slaa ambao ni wanachama wa CCM, ajitenge na CDM wenzake?
 
Back
Top Bottom