Lissu ni Magufuli mwingine ajaye

Lissu ni Magufuli mwingine ajaye

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
 
Put respect on the name ‘Magufuli’.

Huwezi mfananisha na taahira kama Lissu.

Magufuli alikuwa anaipenda nchi yake na wananchi wake.

Sio sawa kabisa na sakapoko waliopo leo, hasa mtu wa hovyo kama Lissu.

Magufuli hata hiyo ulaya alikuwa haitaki. Sio huyu anaelipwa na wazungu.

Hizi dharau zenu yaani Lissu umuweke sawa na great Magufuli.
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.
Ni kweli Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra,
Ni kweli Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA
WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Naunga mkono hoja na nimemshauri Mbowe asifanye kosa kama hili Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!
P
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Sema lissu anafuata sheria na magu alkua mvunja sheria
 
Asante Mkuu Pascal Mayalla kwa ushauri wako nafikiri atauzingatia ili tumpate Magufuli mwingine pengine kuna siku bandari yetu itakombolewa.
Walau sasa unaanza kutambua Magufuli alikuwa mzalendo.

Bandari jamaa washakomba kwa miaka 33 na mkataba siri. Kuuvunja ni kupitia IGA.

Nyongeza mama keshagawa misitu na kila kinachowezekana.

Pongezi ni kuona wapinga Magufuli kama wewe, sasa mnaanza kumuelewa.

Aliwaambia mtamkumbuka kwa mema.
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Tatizo lake ni moja tu, tamaa, pupa na mdomo 🐒
 
Put respect on the name ‘Magufuli’.

Huwezi mfananisha na taahira kama Lissu.

Magufuli alikuwa anaipenda nchi yake na wananchi wake.

Sio sawa kabisa na sakapoko waliopo leo, hasa mtu wa hovyo kama Lissu.

Magufuli hata hiyo ulaya alikuwa haitaki. Sio huyu anaelipwa na wazungu.

Hizi dharau zenu yaani Lissu umuweke sawa na great Magufuli.
Magufuli huyo amesoma ulaya ,nenda kalinde kabuli chatto
 
Magufuli huyo amesoma ulaya ,nenda kalinde kabuli chatto
Kusoma nje ni yeye au serikali ilimpeleka kumnoa.

Baada ya hapo uliona ni mtu wa kulamba miguu ya wazungu, au mtu wa kutaka kufanya biashara na hao wazungu kwa win-win situation ya kila upande.

Magufuli hakuwa against wazungu, ila alitaka manufaa ya wite sio ya upande mmoja.

Chato lazima niende hilo halina mjadala kwangu.
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
Japo walikuwa maadui,
 
Put respect on the name ‘Magufuli’.

Huwezi mfananisha na taahira kama Lissu.

Magufuli alikuwa anaipenda nchi yake na wananchi wake.

Sio sawa kabisa na sakapoko waliopo leo, hasa mtu wa hovyo kama Lissu.

Magufuli hata hiyo ulaya alikuwa haitaki. Sio huyu anaelipwa na wazungu.

Hizi dharau zenu yaani Lissu umuweke sawa na great Magufuli.
sasa povu la nini?
 
Lissu yupo straight hapindishi maneno kama alivyokuwa Magufuli koleo analiita koleo sio kijiko kikubwa.

Enzi za Magufuli ukifanya kosa alikuwa hasubiri akuite ofisini anakutumbua hadharani, kina Nape, Muhongo wanajua habari yake, Lissu anakwenda kuwa Magufuli ndani ya chama chake.

Magufuli alikuwa hashauriki na kama washauri wake watamshauri asivyotaka yeye anawatumbua. Endapo Lissu atafanikiwa kuwa M/Kiti basi washauri wake wajiandae vilivyo.

Magufuli aliichukia rushwa, Lissu rushwa kwake ni sumu ukimfuata kwa mlango wa nyuma jiandae kutokea mlango wa mbele, kwa hili Wenje anamjua sana Lissu.

Magufuli alikuwa hatunzi siri moyoni vivyo hivyo na Lissu asivyokuwa na subra, kabla ya Magufuli kuwa rais kuna clip ilikuwa inatembea mitandaoni akisema 'Nikiwa Rais watalimia kwa meno', sielewi leo Lissu anawaza kitu gani.

WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.
WanaChadema na Watanzania wenzangu kama tunamtaka Magufuli aliyechangamka basi twende na Tundu Antipas Lissu.📌📌🔨💪🏿
 
Walau sasa unaanza kutambua Magufuli alikuwa mzalendo.

Bandari jamaa washakomba kwa miaka 33 na mkataba siri. Kuuvunja ni kupitia IGA.

Nyongeza mama keshagawa misitu na kila kinachowezekana.

Pongezi ni kuona wapinga Magufuli kama wewe, sasa mnaanza kumuelewa.

Aliwaambia mtamkumbuka kwa mema.
Nilimpinga Magufuli kwa udikteta wake uchwara.

Nisome hapa....

 
Back
Top Bottom