Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!Wanabodi karibuni tujuzane kila kinachoendelea leo katika mapokezi ya Mh. Tundu Lissu...Walioko tayari uwanja wa ndege..leteni View attachment 1518134mapicha hapa
Fujo ipi ? Anamiliki silaha,?
Fujo ya makelele ya kipigo atachopigwa na vijana wa jeshi la polisiFujo ipi ? Anamiliki silaha,?
Una sababu za kish@mba sana JITAID WATOTO WAKO WASIRITHI FIKRA ZAKOFujo ya makelele ya kipigo atachopigwa na vijana wa jeshi la polisi
Na kwanini apigwe?! yaani kurudi nyumbani tayari kwa kampeni za uteuzi wa uraisi kwa tiketi ya chama chao ni tatizo?funa usumbufu wa makelele ya kipigo atakachopigwa
Daah ndio anatembae kama masanja wa the comedy zama zile? Pole sana, karibu ki-ukweli kweli!!Huyu hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1518140
Hawa sasa ndio watanzania ninao wajua ... we uko wapi na ulikua unataka nani aende?Wanabodi karibuni tujuzane kila kinachoendelea leo katika mapokezi ya Mh. Tundu Lissu...Walioko tayari uwanja wa ndege..leteni View attachment 1518134mapicha hapa
Asiy na hoja huja na vihoja sasa kajadili na rafkizo mkammalizie maana unamia kumuona u haiSAWA MAMA WATOTO NITAJITAHIDI USIJARI.
Acha uongo haupo hukoKwani nimezaliwa kuishi milele, Potelea Chato, potelea mbali, potela kaburini, niko airport!
Huyo wa kulia kwake anatia huruma kama anajua atakavyopokelewa, angalau yule mama wa nyuma kanyoosha vidole kuashiria mapinduzi.Huyu hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1518140
Matendo yako yanaonyesha akili yako. jina unalojiita !! afu bado unadai na wew ni mpenda haki. Unaakili kweri wewe?! sasa na wew njoo ukutane na moto. Unakula virungu vya matako mpaka ujiarishie nguruwe wew!Shoga mlimfuga wenyewe, mmemtuma aongoze uvamizi wa clouds, apange na kutekeleza mipango miovu ya kumshambulia mheshimiwa Lissu, leo hii mmemtema amenyong'onyea mpaka lile kalio nimeliona jana limeanza kutepeta.
Wapenda haki tumejipanga vyema, kwa lolote litakalojitokeza leo kwenye mapokezi ya mheshimiwa Lissu litapata kujibiwa vyema, katika namna ile ile.
Kaa nyuma ya keyboard comment utopolo wako mbw@ ww