Lissu ni mhanga wa kifo anastahili mapokezi ya kitaifa. Tujitokeze kwa wingi

Lissu ni mhanga wa kifo anastahili mapokezi ya kitaifa. Tujitokeze kwa wingi

Wanabodi karibuni tujuzane kila kinachoendelea leo katika mapokezi ya Mh. Tundu Lissu...Walioko tayari uwanja wa ndege..leteni
Lissu-and-Adam-870x522.jpg
mapicha hapa
 
Karibu jemedari
karibu sana Komredi
Mungu ni wa ajabu sana.
Waliotaka kukuua laana ya Mola wetu ikawaandame wao na kizazi chao milele.
 
Usiharibu kiswahili,mhanga ni mtu ambae amekufa kwa hiyati yake kwa ajili ya kitu fulani,hakuna mhanga aliye hai
 
Shoga mlimfuga wenyewe, mmemtuma aongoze uvamizi wa clouds, apange na kutekeleza mipango miovu ya kumshambulia mheshimiwa Lissu, leo hii mmemtema amenyong'onyea mpaka lile kalio nimeliona jana limeanza kutepeta.

Wapenda haki tumejipanga vyema, kwa lolote litakalojitokeza leo kwenye mapokezi ya mheshimiwa Lissu litapata kujibiwa vyema, katika namna ile ile.
Kaa nyuma ya keyboard comment utopolo wako mbw@ ww
Matendo yako yanaonyesha akili yako. jina unalojiita !! afu bado unadai na wew ni mpenda haki. Unaakili kweri wewe?! sasa na wew njoo ukutane na moto. Unakula virungu vya matako mpaka ujiarishie nguruwe wew!
 
Back
Top Bottom