Lissu ni mhanga wa kifo anastahili mapokezi ya kitaifa. Tujitokeze kwa wingi

Lissu ni mhanga wa kifo anastahili mapokezi ya kitaifa. Tujitokeze kwa wingi

matendo yako yanaonyesha akili yako. jina unalojiita !! afu bado unadai na wew ni mpenda haki. Unaakili kweri wewe?! sasa na wew njoo ukutane na moto. Unakula virungu vya matako mpaka ujiarishie nguruwe wew!

Umemind sana Hon Lissu kuja!kama vp chukua dole la kati basi [emoji867]!
 
Jamani mbona hivi? Kwani msiba ni kwa watu wa Dar tu? Mbona jana kuna mechi za mpira zilifanyika ndani ya viwanja kadhaa na watu walikuwa wanaselbuka! Sijaona hilo likikemewa! Baadhi ya vituo vya TV wanaendelea na programu zao kama kawa! Kwa nini hao hawasemwi au kuonywa? Tuendeleze upendo na kuvumiliana bila hiana ili amani yetu idumu.
 
Hakika lissu Ni mzalendo.Rai yangu jpm awaambie polis wakatoe ulinzi.Polis siasa wawaachie wanasiasa.

Tuulizane Watanzania na hasa wana CCM Mpya,ni risasi ngapi zinaweza kusababisha kifo cha binadamu?Je mnafahamu kuwa hata maumivu makali yanaweza kusababisha mauti?Mnaweza kutuambia kosa halisi la Mh.Lissu ni lipi hadi astahili mateso yote haya?

Maswali ni mengi ila nafasi hii yaweza kuwa ndogo au hakuna mwenye majibu au atakayethubutu kuyajibu kwa ukweli,swali la mwisho ni:Inakuwaje CCM Mpya inawatetea wasiojulikana na inaonekana kutokuwa na nia ya kuwatafuta?
 
Nyie watu mtakuja kuutambua ukweli huku mkiwa Hamuna baadhi ya viungo kwenye miili yenu,keep on,na kama hamuamini jaribuni leo
Unamaanisha?Bado mna kiu ya damu za Watanzania wenzenu?Mlichomfanyia Mh.Lissu hakijawatosheni mnataka kuangamiza wananchi wanaoenda kumpokea mpendwa wao?
 
Nyie watu mtakuja kuutambua ukweli huku mkiwa Hamuna baadhi ya viungo kwenye miili yenu,keep on,na kama hamuamini jaribuni leo
Hata kupitia ajali baadhi ya viungo huwa vinakatwa.
 
Back
Top Bottom