Lissu ni mhanga wa kifo anastahili mapokezi ya kitaifa. Tujitokeze kwa wingi

Balimi si chai ndugu zanguni..
 
Karibu jemedari
karibu sana Komredi
Mungu ni wa ajabu sana.
Waliotaka kukuua laana ya Mola wetu ikawaandame wao na kizazi chao milele.
 
Usiharibu kiswahili,mhanga ni mtu ambae amekufa kwa hiyati yake kwa ajili ya kitu fulani,hakuna mhanga aliye hai
 
Matendo yako yanaonyesha akili yako. jina unalojiita !! afu bado unadai na wew ni mpenda haki. Unaakili kweri wewe?! sasa na wew njoo ukutane na moto. Unakula virungu vya matako mpaka ujiarishie nguruwe wew!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…