Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Na ile post ya "mwenyekiti ajaye " umeisahau. Au ndiyo buku saba zinavyotafutwa.Maana yanga hawajielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ile post ya "mwenyekiti ajaye " umeisahau. Au ndiyo buku saba zinavyotafutwa.Maana yanga hawajielewi
Kama ambavyo bi kichogo alivyohamishia kizimkazi?Lissu hana haiba ya urais na ana upungufu wa busara kichwani. Abaki kuwa mwanaharakati. Mbowe ana haiba na busara za kuweza kuwa Rais ila tatizo ni ubadhirifu. Akiwa Rais atahamishia hazina kijijini Nshara, Machame.
Wakabambee toa hoja tupambane,buku saba pesa pia.Na ile post ya "mwenyekiti ajaye " umeisahau. Au ndiyo buku saba zinavyotafutwa.
sawa dada anguI
Ideology ni kutukana tuu,sishangai maana dj ndio aliewafunza.
Hangaika na wajinga wenzakoAjirekebishe,CCM NI umakini,naomba awe mwanachama wenu bwana nyumbu.
Mwenyewe lissu amechoka aisee,nikirusha clip yake hapa mtamuua,Uongozi mpya ACT wazalenfo naona mnahaha Kila Kona Kwa mbinu kafir za propaganda za Kila Namna kusaka majina makubwa yajiunge ACT wazalendo .Mlimlaghai Membe ulaghai wenu unatosha
Inaonekana darasa lenu shuleni mlijaa wajinga na wapuuzi,naona maneno yamekukaa kweli.hongeraHangaika na wajinga wenzako
Ni sahihi kusahihishwa mkuu,nilimaanisha silaha.Siraha=Silaha
Andika upya nitakujibu
Nakuonya kwa mara ya mwisho, achana na mimi vinginevyo utapata matokeo mabaya snInaonekana darasa lenu shuleni mlijaa wajinga na wapuuzi,naona maneno yamekukaa kweli.hongera
Yani wewe unionye mimi?Nakuonya kwa mara ya mwisho, achana na mimi vinginevyo utapata matokeo mabaya sn
Safi sana,karibu sana.Ni sahihi kusahihishwa mkuu,nilimaanisha silaha.
Usilaumu kwa matokeo mabaya utakayo yapata.Ya
Yani wewe unionye mimi?
Nyumbu mkuu,tafuta picha za mke wako upost vijana wa hovyo wapite nae.
Chadema aisee,eti matokeo mabaya.ndio maana zitto anawatambua kwa jina la mazwazwa.Usilaumu kwa matokeo mabaya utakayo yapata.
Humuelewielewi Zitto kivipi?Kweli siasa ni hesabu,tujipe muda tu
Lkn Zitto mimi binafsi simeuelewei,ngoja tuone
We jamaa umewehuka?si lazima ujibu kila kitu.Humuelewielewi Zitto kivipi?
Nakuelewesha sasa, Zitto ni muha!
Umeelewà?
Haya subiriChadema aisee,eti matokeo mabaya.ndio maana zitto anawatambua kwa jina la mazwazwa.
Sisubiri.Haya subiri
Ukimwangalia kwa jicho la ki - CCM kama hilo la kwako, obvious utamwona kwa mtazamo au mwonekano huo yaani "asiye na busara.."Lissu hana haiba ya urais na ana upungufu wa busara kichwani. Abaki kuwa mwanaharakati. Mbowe ana haiba na busara za kuweza kuwa Rais ila tatizo ni ubadhirifu. Akiwa Rais atahamishia hazina kijijini Nshara, Machame.
Mkuu umeongea mazuri mengi,lkn unamsemea lissu kama vile ni malaika,hapana hapa tunafanya siasa,na hizi habari za lissu kutia mguu ACt zipo,hivyo ikitokea mimi nitamfuata.Ukimwangalia kwa jicho la ki - CCM kama hilo la kwako, obvious utamwona kwa mtazamo au mwonekano huo yaani "asiye na busara.."
Huko kwenu CCM, definition ya "mtu kuwa na busara", ni kuwa mjinga, mpumbavu, mwizi/fisadi, mvunja sheria na taratibu na katiba, mwongo na yafananayo na haya..
Kwenu huko CCM, "mtu mwenye busara", ni yule anayeulemba na kuupaka rangi uovu na ubaya wa viongozi eti kwa sababu imeandikwa;
"......tuitii mamlaka halali iliyowekwa na Mungu....".
Yaani hiyo mamlaka hata ivunje sheria, ikiuke haki za watu, ionee watu eti watu waitii tu badala ya kuikosia, kuishauri na kuikemea kwa lugha kali. Hii kwenu ninyi huko CCM eti ndiyo busara..
Huko kwenu CCM mnadhani mtu mwenye busara ni yule anayemsema kwa lugha ya upole na unyenyekevu kiongozi mvunja sheria, taratibu na katiba ya nchi huku akimsifu kwa kila lugha ya manukato.
Hii kwenu ninyi huko CCM eti ndiyo busara..
Mimi nasema hii sio busara. Huu ni ujinga na ni upumbavu!!
Tundu Lissu hayumo miongoni mwa wajinga na wapumbavu hawa. Tundu Lissu hana busara ya kishetani na ya maangamizo kama hiyo ya kwenu huko CCM. Hiyo bakini nayo nyie..!
Pole sana MamaSamia2025