Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.Tundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025,ninaamini kabisa kama mungu akituruzuku uhai lissu akiungana na akina Ismail Jussa,Lema,Babu duni,Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake,hali ya ushawishi wa lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Siko hapa kuisemea ACT mimi nazungumzia taarifa zilizopo,na ikitokea lissu kutua huko na mimi nitaikacha ccmUpuuzi mtupu.
ACT ipo Pemba pekee!
Ndugu sultan,ziache tu.hususani zile za 2015.Siasa za bongo ni za ki$enge sana,kupotezeana muda tu.
Dola ni nini ujuavyo wewe?Dola sio makwapa useme ushikeshike tu..
Mamlaka ya kisasa na utawalaDola ni nini ujuavyo wewe?
Sasa unafikiri kwa uelewa huo mdogo ulionao,unaweza kunielekeza mimi?Mamlaka ya kisasa na utawala
takatakaTundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025,ninaamini kabisa kama mungu akituruzuku uhai lissu akiungana na akina Ismail Jussa,Lema,Babu duni,Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake,hali ya ushawishi wa lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Simsemei Tundu Lissu kwa kuwa alitaka nimsemeeMkuu umeongea mazuri mengi,lkn unamsemea lissu kama vile ni malaika,hapana hapa tunafanya siasa,na hizi habari za lissu kutia mguu ACt zipo,hivyo ikitokea mimi nitamfuata.
Tundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025, ninaamini kabisa kama Mungu akituruzuku uhai Lissu akiungana na akina Ismail Jussa, Lema, Babu Duni, Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Ok sawa, nenda kapitie maana ya Dola, taifa na nchi Kisha urudi Hapa. Unaongelea kitu ambacho hata maana yake haujui. Unajua Dola inachukuliwa tu, acha mihemko ya kijinga.Sasa unafikiri kwa uelewa huo mdogo ulionao,unaweza kunielekeza mimi?
Unajiona unajuuuwa propaganda eeh?? Kwamba utamvuruga LISSU na Cdm? Unaota upuuzi mtupu, nani mwenye msimamo bara atajiunga na chama Cha wasaliti aache alipopigania miaka na mikaka mpaka kupata ulemavu akipigania demokrasia na maendeleo!Tundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025, ninaamini kabisa kama Mungu akituruzuku uhai Lissu akiungana na akina Ismail Jussa, Lema, Babu Duni, Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Zipo midomoni mwa wanaccm kama wewe.Mkuu umeongea mazuri mengi,lkn unamsemea lissu kama vile ni malaika,hapana hapa tunafanya siasa,na hizi habari za lissu kutia mguu ACt zipo,hivyo ikitokea mimi nitamfuata.
Unapoteza muda wako kupiga propaganda uchwara tu hapaTundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025, ninaamini kabisa kama Mungu akituruzuku uhai Lissu akiungana na akina Ismail Jussa, Lema, Babu Duni, Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
kibaraka atahamia chama kingingine kwa ruhusa na kibali maalumu cha mabwenyenye ya magharibi yanayombackup baada ya makubaliano ya kisheria watakayofanya ili wahakikishiane yale manufaa ambayo mabwenyenye wangenufaika nayo endapo angepata uongozi kuputia chadema......Tundu lissu anaeleka ACT wazalendo kujiandaa kuchukua nchi 2025, ninaamini kabisa kama Mungu akituruzuku uhai Lissu akiungana na akina Ismail Jussa, Lema, Babu Duni, Othman na vijana kama Nondo bila shaka CCM mkambarani kama mwanamikakati nitaachana na ccm na kuifuata ACT
Ninayasema haya baada ya kuridhika kuwa Lissu anaipenda sana Tanzania lkn kuna wanaotumika na wamagharibi kumbania nafasi yake, hali ya ushawishi wa Lissu ni kubwa na anachokosa ni sapoti kutoka visiwani.
Jambo hili likitimia ndani ya siku chache hizi basi tutatangaza kampeni kubwa kuhakikisha Lissu anakamata dola ili atusaidie.
Go Lissu go.
ACT ni mahala sahihi kwako.
Hakuna chama Cha kushinda Urais Tanzania Nje ya CCM.Atakiongezea wigo wa ushawishi kwenye majimbo kadhaa. Ila hatoweza shinda uraisi kupitia ACT. Hata kura ya macho mimi kama mimi sitompigia 2025. mtu pekee anaweza chukua uraisi kupitia ACT in years to come though no easily possible ni yule jamaa Zitto kabwe labda na January Makamba kama amaweza toka CCM. I assure you.