Uwa siandiki Mara nyingi
Kumbukeni wananchi
Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la kukatisha wapiganaji tamaa!
Kuna wanaosema Lissu hana hela asigombee ni Hoja ya kijinga sana
SABODO alisaidia Vyama vya siasa, hakuwa na uongozi ndani ya chama chochote! kusema Mbowe ni Tajiri ili kusaidia chama lazima awe Kiongozi Hapana! Mnamkosea sana Mheshimiwa Mbowe! Kwamba asipokuwa mwenyekiti hawezi saidia? Tumchague kwa sifa zingine utajiri kisiwe kigezo kikuu
Na wengine wanasema kwamba Lissu hana sifa za kuwa mwenyekiti kwakweli
Lissu is not only suitable for the chairmanship of the party, but also for the presidency of the country! Currently in Tanzania, I don't see anyone approaching his qualities,
Soma Pia:
Lissu leo akasema anaondoka CHADEMA tutapoteza sana
Lwaitama
Kumbukeni wananchi
Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea, tumeanza kupona pona maumivu na makovu! Mauzauza yanaanza Tena kututonesha! Itakuwa tukio la pili la kukatisha wapiganaji tamaa!
Kuna wanaosema Lissu hana hela asigombee ni Hoja ya kijinga sana
SABODO alisaidia Vyama vya siasa, hakuwa na uongozi ndani ya chama chochote! kusema Mbowe ni Tajiri ili kusaidia chama lazima awe Kiongozi Hapana! Mnamkosea sana Mheshimiwa Mbowe! Kwamba asipokuwa mwenyekiti hawezi saidia? Tumchague kwa sifa zingine utajiri kisiwe kigezo kikuu
Na wengine wanasema kwamba Lissu hana sifa za kuwa mwenyekiti kwakweli
Lissu is not only suitable for the chairmanship of the party, but also for the presidency of the country! Currently in Tanzania, I don't see anyone approaching his qualities,
Soma Pia:
- Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Lissu leo akasema anaondoka CHADEMA tutapoteza sana
Lwaitama