Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

[SUB]Ndio maana mataga hatutaki upumba.#$=××÷@[/SUB]
 
Hayo yote yamwfanywa kwa fedha za Watanzania wala hakuna aliye toa fedha zake za mshahara. Wacheni kuwadanganya watu.
Sasa yeye au wewe ulitaka zitumikaje??
Na nyinyi mkija mtafanya kitu gani tofauti na yeye??
Kutetea wapigaji, na kuwadanganya wananchi maisha hewa , wakati kuna Mwenyekiti wa saccos aliyewekeza hela zake na genge lake nia yao ni kurudisha fedha zao na faida kupitia hawa hawa wananchi mnao wadanganya
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Wewe unaonekana hujawahi toka nje ya nchi hata mara moja. Mbona hivyo vitu si lolote. Jaribu kwenda nairobi tu, hata Kampala hizo mnziita flyover huwezi hesabu.
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Sijaona ile mbuga ya Chato,Kiwanja cha Chato na Ile hiteli ya kitalii Chat😵ngeza hapo
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Hakuna kitu mtafurahi na kumpa airtime ya kutosha kama siku Lissu atamke hayo maneno. Mko desperate kweli lkn hawezi yule jamaa, ameonesha kwa vitendo nini maana ya kuwa mwanaume mwenye msimamo. He is a living legend for me hakuna anayeweza kuukaribia uzalendo wake kwa hii nchi, Mungu ambariki sana.
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Siasa naweza kuifananisha na mchezo wa mashindano ya pikipiki, Unaweza kupaaza sauti ukadhani kadamnasi iliyokuzunguka inakusikia, kumbe inakuwa inakuangalia tu, kwa Sasa Lissu atulie labda ajaribu kuchachamaa 2025.
 
20200809_214422.jpg
 
Back
Top Bottom