Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
[
Sasa yeye au wewe ulitaka zitumikaje??Hayo yote yamwfanywa kwa fedha za Watanzania wala hakuna aliye toa fedha zake za mshahara. Wacheni kuwadanganya watu.
Wewe unaonekana hujawahi toka nje ya nchi hata mara moja. Mbona hivyo vitu si lolote. Jaribu kwenda nairobi tu, hata Kampala hizo mnziita flyover huwezi hesabu.ichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
Sijaona ile mbuga ya Chato,Kiwanja cha Chato na Ile hiteli ya kitalii Chat😵ngeza hapoichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
Hakuna kitu mtafurahi na kumpa airtime ya kutosha kama siku Lissu atamke hayo maneno. Mko desperate kweli lkn hawezi yule jamaa, ameonesha kwa vitendo nini maana ya kuwa mwanaume mwenye msimamo. He is a living legend for me hakuna anayeweza kuukaribia uzalendo wake kwa hii nchi, Mungu ambariki sana.ichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
Siasa naweza kuifananisha na mchezo wa mashindano ya pikipiki, Unaweza kupaaza sauti ukadhani kadamnasi iliyokuzunguka inakusikia, kumbe inakuwa inakuangalia tu, kwa Sasa Lissu atulie labda ajaribu kuchachamaa 2025.Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.
Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.