Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

CCM haipedwi, jamaa kuongea miaka 5 wananchi washamchoka kumsikiliza...sasa hivi wana hamu ya kuwasikia wapya hasa hasa Lissu.

Lissu hazuiliki....kukata jina si njia sahihi achaneni nayo kabisa itawaumbua vibaya mno.
 
Hizi ni propaganda tu zisizo na Uhalisia wowote kwa maisha ya Mtanzania....!!!!
1. Hivi unajua Kuna Shule za msingi na Sekondari Zina Mwalimu mmoja au 2 tu?...
Nakubaliana na wewe bado kuna mapungufu mengi ya maendeleo na hakutakuja siku yote yakakamilishwa kwa sababu maisha ya binadamu hubadilika (dynamic).

Kinachotakiwa na mtu makini ni kutambua mapungufu yaliyopo, changamoto za kuyashughulikia (kisera na/au kimikakati) na si kulaumu. Lakiniwagombea wa upinzani wao ni kupinga, kulaumu, na kulalamika kwa lugha isiyo staha kulingana na mila na tamaduni zetu.
 
Nakubaliana na wewe bado kuna mapungufu mengi ya maendeleo na hakutakuja siku yote yakakamilishwa kwa sababu maisha ya binadamu hubadilika (dynamic)....

Hilo la kusema ati Wapinzani kazi yao ni kulaumu,kupinga na kulalamika sikubaliani na wewe! Hivi ulitegemea Wapinzani wafanyeje au waseme Nini?

Hivi unyama, ubabe na ukatili anaowafanyia Wapinzani huyu Rais Magufuli wanyamae tu kama mijikondoo? Tabia hii ya Jiwe ni mpya kabisa na haijawahi kufanywa na Marais wote walopita!!!

Hata leo hii ikatokea CCM wakawa upande pinzani wataanza kulalamika tu....!!
 
Wasichoelewa watu ni kwamba Magufuli na CCM yake wakati umewakataa!

Yaani majira hayakubaliani nao ingawa wanalazimisha!

Japo watu wanapuuza lakini CCM inaanguka mwaka huu... na Magufuli hana upepo kabisa!
Pole
 
Hilo la kusema ati Wapinzani kazi yao ni kulaumu,kupinga na kulalamika sikubaliani na wewe....!!!
Hivi ulitegemea Wapinzani wafanyeje au waseme Nini? Hivi unyama, ubabe na ukatili anaowafanyia Wapinzani huyu Rais Magufuli wanyamae tu kama mijikondoo? Tabia hii ya Jiwe ni mpya kabisa na haijawahi kufanywa na Marais wote walopita!!!
Hata leo hii ikatokea CCM wakawa upande pinzani wataanza kulalamika tu....!!
Naamini hoja zako zinawakilisha au ni "copy & paste" za viongozi wa upinzani, hasa CHADEMA. Ni hoja zinatokana na madai ya muda mrefu ya upinzani yanayosukumwa kisiasa (hawatoi ushahidi) kwa nia ya kupata huruma ya jamii ya kiTanzania na kiMataifa.

Kama upinzani kweli una nguvu, hasa Lissu, mgombea wake wa Urais, tungeshuhudia mafuriko kutoka CCM kuelekea ya upinzani, kwa watia nia ya Urais, Ubunge na Udiwani, walioshindwa kura za maoni, kama ilivyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2015.

Ukweli unabaki kuwa miaka 5 ya utawala wa Magufuli, viongozi wa upinzani wamebaki kucheza na kauli zake na matukio, badala ya kujiimarisha toka ngazi za chini (vitongoji na mitaa). Kwa upande mwingine wa kisiasa, CCM imekuwa ikijiimarisha (kimuundo na kiuendeshaji) na pia kuisimamia Serikali katika ujenzi wa vitu vinavyochochea kukua kwa uchumi. Isitoshe, CCM ina Jumuia zenye nguvu kisiasa. Kususia kwa upinzani kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakuwa mtaji mkubwa wake kwenye Uchaguzi Mkuu.

Madai kuwa CCM inabebwa na vyombo vya Dola na Tume ya Uchaguzi, ni kukiri kuwa CCM ni moyo wa WaTz kwa mnaamini kuwa watendaji wa vyombo hivyo nao ni wapenzi/wafuasi wake.
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Delete ccm Oct 28
 
Naamini hoja zako zinawakilisha au ni "copy & paste" za viongozi wa upinzani, hasa CHADEMA. Ni hoja zinatokana na madai ya muda mrefu ya upinzani yanayosukumwa kisiasa (hawatoi ushahidi) kwa nia ya kupata huruma ya jamii ya kiTanzania na kiMataifa...
Unataka mafuriko subiri kampeni zianze
 
Umepitia mikoa saba kwa usafiri gani na nani alikutuma. Uwekezaji wa Lowassa kwenye siasa za urais wa nchi unaweza mlinganisha na huyo mpiga kelele wenu asiyejitambua. Nani ampe nchi yule.Magu anajizoelea 95% na 90% ya wabunge
Naweza kukubaliana na wewe kwa kuwa Bashiru alisema ccm itatumia vyombo vyote vya dola kuhakikisha kinabaki madarakani. Moja ya vyombo hivyo ni tume ya uchaguzi.
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.

Hivi nani anawadanganya? Hata muungane vyama vyote hamutashinda,
 
Makamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.

CCM Kwa sasa sala zenu zote ni kwa polisi na Time ya Magufuli tu. Hamna mlichobakiza.

Niwape taarifa: safari hii polisi hawatafua dafu na hata mkileta jeshi la wananchi labda mtuuwe wote. Maana hatuna cha kupoteza!

Ni bora tuawe barabarani tukiitafuta haki ili ikiwezekana tukose wote badala ya kuwaruhusu muendelee kutawala kwa ushindi wa wizi.

Aki ya nani hatabaki mtu safari hii mkitumia usalama na policcm wenu.
 
Wasichoelewa watu ni kwamba Magufuli na CCM yake wakati umewakataa!

Yaani majira hayakubaliani nao ingawa wanalazimisha!

Japo watu wanapuuza lakini CCM inaanguka mwaka huu... na Magufuli hana upepo kabisa!
Hakuna kitu kama hicho
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Magufuli ni kwavile tu hatuna tume huru, tungekuwa na tume huru Magufuli angeondolewa kabisa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi, maana hana sifa sio tu za kuwa raisi hata mwenyekiti wa kitogoji hafai kabisa. raisi gani kila akiongea ni kejeri kwa wanawake na wanachi anaowaongoza. raisi unatakiwa uwe mnyenyekevu kwani unalipwa mshahara mzuri na watu wenyeshida nyingi. kuwa raisi haina maana kuwa wewe ni mtu mhimu kuliko wananchi wengine bali ni kwasababu wote tukiwa maraisi nani ataongozwa?
 
CCM Kwa sasa sala zenu zote ni kwa polisi na Time ya Magufuli tu. Hamna mlichobakiza.

Niwape taarifa: safari hii polisi hawatafua dafu na hata mkileta jeshi la wananchi labda mtuuwe wote. Maana hatuna cha kupoteza!

Ni bora tuawe barabarani tukiitafuta haki ili ikiwezekana tukose wote badala ya kuwaruhusu muendelee kutawala kwa ushindi wa wizi.

Aki ya nani hatabaki mtu safari hii mkitumia usalama na policcm wenu.
weka numba nikurushie ya bia mbili
 
Unataka mafuriko subiri kampeni zianze
Sikuwa na maana mafuriko ya mashabiki kwenye kampeni, ambao wengi wao huenda tu kupoteza muda, na si wapiga kura.

Nililenga mafuriko ya watia nia, AMBAO kura za maoni CCM hazikutosha, kuhamia vyama vya uoizani, hasa CHADEMA. Hao ni wanasiasa wenye wafuasi nyuma yao, na uwezekano wa kuongeza kura upinzani ni mkubwa kuliko mafuriko wakati wa kampeni.
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba 80% ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Mbona hamkufanya hivyo 2015, lakini hata sasa licha ya kuwepo watu kibao wa propaganda, lakini ukweli wa mambo kura zenu hazitoshi
 
Back
Top Bottom